Nipe maoni yako kuhusu mada hii.

Daisam

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2016
Posts
2,622
Reaction score
3,144
Tangu tarehe 01.01.2017 mpaka sasa bila shaka kuna MATUKIO kadhaa ya kusisimua yaliyoweza kutokea Duniani.
Naomba tukumbushane kwa kutaja matukio matano(5) tu unayoyakumbuka.
 
Pyu pyu ya Tundu Lissu mchana kweupe, nje ya makazi ya maofisa wandaamizi wa serikali na polisi kushindwa kuwabaini wahusika.
 
Akihamaia ccm, ujue ni mmoja wa wale waoga. Waoga hawawezi kubaki upinzani hata kidogo.watakaobaki upinzani ni Daredevils only.
 
North korea kupitisha makombora yake 2 juu ya Japan bila kutunguliwa.

Dr. LOUIS SHIKA kuibuka na kuwa maarufu ghafla na kupiga mkwanja kwa kutangaza biashara za makampuni.

Jaji mkuu wa mahakama ya rufaa ya Kenya kufuta matokeo ya uchaguzi wa uraisi na kupelekea uchaguzi kurudiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…