North korea kupitisha makombora yake 2 juu ya Japan bila kutunguliwa.
Dr. LOUIS SHIKA kuibuka na kuwa maarufu ghafla na kupiga mkwanja kwa kutangaza biashara za makampuni.
Jaji mkuu wa mahakama ya rufaa ya Kenya kufuta matokeo ya uchaguzi wa uraisi na kupelekea uchaguzi kurudiwa.