Inaitwa LMG - Light Mashine Gun. Haina sauti ya kutisha kama SMG ! Katika kikosi inaitwa Silaha ya Msaada.
Hebu fikiria hapo kila ganda ni shs 2,000/- itakuwa zimeteketea shs ngapi !?
Inaitwa LMG - Light Mashine Gun. Haina sauti ya kutisha kama SMG ! Katika kikosi inaitwa Silaha ya Msaada.
Hebu fikiria hapo kila ganda ni shs 2,000/- itakuwa zimeteketea shs ngapi !?
Kabisa... wana JF wengi hawajapitia JKT thats why haijui.... LMG kaka hiyo uko sahihi kabisa ndani ya dakika moja inatema risasi 600 ina sauti ya kutisha kuliko SMG ukiisikia hiyo inaunguruma hutataka vita kabisaaa...