Nipe Gari yako Kwa mkataba

Dalali wa Mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
1,073
Reaction score
1,563
Habari wakuu.

Kweli tunapambana wala hatukati tamaa ya Maisha sababu tayari familia tumeanzisha.

UBER/BOLT

Kama unagari yako kuanzia namba (EA) ambayo huifanyii matumizi yako binafsi mara Kwa mara basi naomba nipe mkataba wa miaka MIWILI kila wiki nikuwekee 150000 (Laki moja na Hamsini) basi naomba tufanye Kazi.

Gari ziwe kati ya moja wapo hapa.
Toyota IST cc 1290
Toyota Vits piston 4 kuanzia iwe new model.

Sikutaka kuweka vigezo vya Gari mpya sababu wengi wetu kununua Gari mpya sababu ya Uber/bolt ni ngumu Sana. Lakini Gari kuanzia namba E wengi wenu mnazo.

Kigezo iwe namba E ili nikimaliza mkataba na Wewe boss wangu basi kidogo Gari iwe na Hali nzuri.

Nipigie simu 0754693556

Vits kama hii 👇
 

Attachments

  • IMG_20250821_204813.jpg
    119.3 KB · Views: 16

"Kama nafuta kaji kono nyuma. Sasa oata kaji, sasa - kono mbele." Mwisho wa kulinukuu Ponjoro la Kinondoni !
 
Ndiyo uhalisia mkuu. Nionyeshe dereva mmoja aliyetunza gari ya mtu.

View attachment 3448046

Ni taxi, Lori, semi au bus?!

Huyo ndiye dereva mtanzania kwenye ubora wake.

Au nasema uongo?
Bila Shaka Chombo cha mkataba unakiona ni kisafi kuliko Kile cha hesabu ya kila siku.

Mkataba anajua ni Mali Yake ya badae
Hesabu anajua sio Mali Yake hata hiyo badae.

Huruma ya Chombo inakuwa tofauti kwenye mkataba na hesabu

Chunguza hiyo kitu mkuu.

Asilimia kubwa ya madereva hueshimu Chombo ya mkataba kuliko hesabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…