Nipe dondoo kuhusu laptop

Nipe dondoo kuhusu laptop

Kama unamaanisha dukani mpya hupati, lwa laptop nzuri you need around laki 8 kupanda kupata core i3 gen za karibuni.

Laki 3 mpaka 4 tafuta used core i3/i5 gen ya 4 mpaka 7 ni reasonable.
Pale machinga core i3 ni 250k mkuu, jamaa PC sijui wanaziokotea wapi wale, kwa laki 3 kupata i5 ni kawaida. Ina maana kule machinga ukiwa na laki 5 unapata mashine kali sana.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Pale machinga core i3 ni 250k mkuu, jamaa PC sijui wanaziokotea wapi wale, kwa laki 3 kupata i5 ni kawaida. Ina maana kule machinga ukiwa na laki 5 unapata mashine kali sana.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Yap used,

Issue ya kkoo wengi hawachukui wenyewe mzigo nje, yoyote anaeshusha mzigo wanauza huo huo, anayeleta mzigo akikosea tu basi basi soko zima wanakosea.
 
Yap used,

Issue ya kkoo wengi hawachukui wenyewe mzigo nje, yoyote anaeshusha mzigo wanauza huo huo, anayeleta mzigo akikosea tu basi basi soko zima wanakosea.
Inawezekana kabisa.

Mimi nimeshuhudia kwa macho yangu, PC za lenovo, Dell na Toshiba core i3 wanaanza na 250k, nilishtuka sana. Nikasema core i5 napata kwa kiasi gani? Wakasema 300k mpaka 270k.

PC unaichek palepale na unatest mouse, keyboard n.k ila leo umenifanya nielewe kuwa generations ni muhimu zaidi ktk processor kuliko core ngapi ngapi.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna utofauti wowote mkubwa baina ya gen ya 4,5,6,7, anaeuziwa gen ya 7 kwa bei ghali ndio anaepigwa.

Na zipo machine nyingi tu used i3 gen ya 6/7 kwa around laki 4, simple google search utaziona.

Core i3 ama Ryzen 3 online as cheap as $250, plus usafiri unapata vizuri tu kwa laki 8, na hata hapa Tanzania if you look carefull unapata simple search i3 10100u ideapad 3 nimeiona capricon 900,000 na hao capricon wanauza vitu bei ghali. i3 ambazo kidogo bei zake zinakua juu ni gen ya 10 icelake na 11 tigerlake ila hizi zinazoishiwa na U kuanzia Gen ya 10 kushuka ukipigwa milioni imekula kwako hazina thamani hio.
Mr i3 kuanzia Gen 7 kwa matumizi yakimtandao unaweza ukashauri nini hapa, na upgrades zake vipi unaweza zi upgrade vitu flani flani?
 
Mr i3 kuanzia Gen 7 kwa matumizi yakimtandao unaweza ukashauri nini hapa, na upgrades zake vipi unaweza zi upgrade vitu flani flani?
Mkuu logic ya comment ya juu gen ya 2 mpaka ya 7 hakuna utofauti sana processor zake, mfano unakuta machine ya laki 4 ina gen ya 4 na machine nyengine laki 7 ama 8 gen ya 7 bora tu ununue gen ya 4, utamiss vitu kidogo sana.

Kuanzia gen ya 8 mpaka ya 11 ndio angalau toa laki 7 kuendelea na kama budget inakaribia 1m nunua gen ya 12 ama ryzen hizi za kisasa.

Kwa sasa laptop unaweza upgrade ram, storage, network etc ila cpu huwezi kwa mtu wa kawaida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom