Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,222
- 44,197
Hakuna utofauti wowote mkubwa baina ya gen ya 4,5,6,7, anaeuziwa gen ya 7 kwa bei ghali ndio anaepigwa.Mkuu Generation ya 7 nani akuuzie laki 4? Labda kama anauza nae hajui machine! Generation ya 3,4,5 kwa laki 4 fresh unapata core i3 au core i5!
Core i3 kwa laki 8 dukani haiwezi kuwa mpya full box ata siku moja! Iwe 8 Gen au 9 au 10 au 11 Generation hupati! Zile Intel ndo utapata kwa laki 8 mpya ila core i3 full box au core i5 lazima itafika milion na kitu itategemea na Generation tu.
Hizo za laki 8 dukani ni Refurbished au used za mtaani wale nao wanazuweka vzr na wanauza ata laki 9
Na zipo machine nyingi tu used i3 gen ya 6/7 kwa around laki 4, simple google search utaziona.
Core i3 ama Ryzen 3 online as cheap as $250, plus usafiri unapata vizuri tu kwa laki 8, na hata hapa Tanzania if you look carefull unapata simple search i3 10100u ideapad 3 nimeiona capricon 900,000 na hao capricon wanauza vitu bei ghali. i3 ambazo kidogo bei zake zinakua juu ni gen ya 10 icelake na 11 tigerlake ila hizi zinazoishiwa na U kuanzia Gen ya 10 kushuka ukipigwa milioni imekula kwako hazina thamani hio.