Nioe yupi kati ya hawa

Nioe yupi kati ya hawa

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,198
Wakuu ushauri wenu kwa kijana wenu Zero IQ nategemea kufanya mpango mwakani nivute jiko lakini tatizo ni kwamba mpaka sasa sijui nimuoe yupi kati ya hawa?

Niko na mahusiano na wasichana 3 ambao ni serious relation ship na kila mmoja anajua lazima nitamuoa yeye sababu ya yale tunayoyafanya,

Nimekuja kwenu wakuu kupata ushauri nitawaelezea kila mmoja kwa vile ninavyowajua mimi kwa ule muda tulio kwenye mahusiano,


1:Huyu wa kwanza nilikutana nae morogoro nilianza nae mahusiano tangu niko secondary mimi form 3 na yeye form 2
Kabila ni mpogoro ,dini ni muislamu;

Tatizo la huyu demu ni dini mzee wake ni shekhe na kila nikijaribu kumshawishi abadili dini ili nimuoe swala likifika kwa mzee wake ni tatizo wanataka mimi ndio niwe muislamu ili nivute mtoto wao na hilo swala mimi siwezi ila dogo hana tatizo tatizo ni mzee wake,

2: Huyu nilikutana nae wakati niko chuo.
Kabila ni muiraq,dini mkristo,

Huyu demu nilizaa nae mtoto wa kiume tatizo la huyu demu ni kwamba nikiwa nae she is in love with me nitaona mapenzi ya dhati ambayo sijawahi ona,atanicare kwa kila namna lakini akiondoka mawasiliano huwa ni ya kawaida sana na nilishawahi kuja na uzi wake humu baada ya kukuta sms kwenye simu yangu kutoka kwa mwanamke mwingine ndio ameonyesha kubadilika now days ananitafuta kila mara.

3:Huyu nilikutana nae hapo mtaani tunapoishi,

Kabila ni mchaga,dini mkristo,ni mwanamke ambae anaonekana ana vision ya maisha ila tatizo ni kwamba amenipita karibia miaka 5,
Hajawahi nionyesha kiburi au kunikela japo kwenye kucare siyo sana ni mtu anaewaza sana kuhusu future yetu.


Nipo matatani na sijui nioe yupi wakuu kila siku nikiamka naamka na wazo jipya nioe huyu kesho pia nioe huyu nashindwa kuwa na msimamo wa kweli yupi ndio nimuoe.
 
Kwa mtazamo wangu, muoe Number 2 mkuu, kwa sababu;

1) Mmezaa mtoto mmoja, hivo itasaidia kumpa malezi mazuri kwaajili ya future yake.

2) Kauli yako anakupenda, inawezekana DISTANCE baina yenu inasababisha yeye kupunguza mawasiliano, mimi binafsi siamini mahusiano ya mbali (distance relationship). Nlishapitia mara mbili, ila zote zilifeli.

3) Wanawake wa aina hii huwa wanajirudi pindi anapokua karibu yako. Hivo ukimuoa atajirudi. (Japo sio wote)

4) Dini sio kikwazo kwako wala kwake, na familia yake na yako watalipokea jambo hili vizuri (tofauti na yule wa morogoro, dini ni kikwazo kwako na kwake, pia familia zenu zinaweza zikawa hazina maelewano baadae kwaajili ya dini).

NB Kama una asilimia 99% ya kuhitaji/kutaka/kutamani kuoa. Usioe, itafute hio asilimia 1% kwanza iliobakia, 100% ikamilike. Vijana siku hizi naweza kusema tunakimbilia sana kuoa bila ya kuwa tayari ki "MAWAZO/FIKRA/ELIMU YA NDOA" na ndio maana wengi huishia njiani katika safari ya ndoa (tofauti na wazee wetu wa zamani).

Nawasilisha,
 
Kwa mtazamo wangu, muoe Number 2 mkuu, kwa sababu;

1) Mmezaa mtoto mmoja, hivo itasaidia kumpa malezi mazuri kwaajili ya future yake.

2) Kauli yako anakupenda, inawezekana DISTANCE baina yenu inasababisha yeye kupunguza mawasiliano, mimi binafsi siamini mahusiano ya mbali (distance relationship). Nlishapitia mara mbili, ila zote zilifeli.

3) Wanawake wa aina hii huwa wanajirudi pindi anapokua karibu yako. Hivo ukimuoa atajirudi. (Japo sio wote)

4) Dini sio kikwazo kwako wala kwake, na familia yake na yako watalipokea jambo hili vizuri (tofauti na yule wa morogoro, dini ni kikwazo kwako na kwake, pia familia zenu zinaweza zikawa hazina maelewano baadae kwaajili ya dini).

Nawasilisha,
Of course mkuu kinachofanya nisiwe namuamini sana ni kwa sababu ya umbali tu ila akiwa karibu ni wife material atafanya kila kitu kwa wakati,atanionyesha mapenzi ya dhati yaani sijui niseme nini ila distance ni kikwazo sometime inafanya nisimuamini
 
Wakuu ushauri wenu kwa kijana wenu Zero IQ nategemea kufanya mpango mwakani nivute jiko lakini tatizo ni kwamba mpaka sasa sijui nimuoe yupi kati ya hawa?

Niko na mahusiano na wasichana 3 ambao ni serious relation ship na kila mmoja anajua lazima nitamuoa yeye sababu ya yale tunayoyafanya,

Nimekuja kwenu wakuu kupata ushauri nitawaelezea kila mmoja kwa vile ninavyowajua mimi kwa ule muda tulio kwenye mahusiano,


1:Huyu wa kwanza nilikutana nae morogoro nilianza nae mahusiano tangu niko secondary mimi form 3 na yeye form 2
Kabila ni mpogoro ,dini ni muislamu;

Tatizo la huyu demu ni dini mzee wake ni shekhe na kila nikijaribu kumshawishi abadili dini ili nimuoe swala likifika kwa mzee wake ni tatizo wanataka mimi ndio niwe muislamu ili nivute mtoto wao na hilo swala mimi siwezi ila dogo hana tatizo tatizo ni mzee wake,

2: huyu nilikutana nae wakati niko chuo.
Kabila ni muiraq,dini mkristo,

Huyu demu nilizaa nae mtoto wa kiume tatizo la huyu demu ni kwamba nikiwa nae she is in love with me nitaona mapenzi ya dhati ambayo sijawahi ona,atanicare kwa kila namna lakini akiondoka mawasiliano huwa ni ya kawaida sana na nilishawahi kuja na uzi wake humu baada ya kukuta sms kwenye simu yangu kutoka kwa mwanamke mwingine ndio ameonyesha kubadilika now days ananitafuta kila mara.

3:huyu nilikutana nae hapo mtahani tunapoishi,

Kabila ni mchaga,dini mkristo,ni mwanamke ambae anaonekana ana vision ya maisha ila tatizo ni kwamba amenipita karibia miaka 5,
Hajawahi nionyesha kiburi au kunikela japo kwenye kucare siyo sana ni mtu anaewaza sana kuhusu future yetu.


Nipo matatani na sijui nioe yupi wakuu kila siku nikiamka naamka na wazo jipya nioe huyu kesho pia nioe huyu nashindwa kuwa na msimamo wa kweli yupi ndio nimuoe.
uyo wa kwanza utamuoa mke wapili kwa kubadili dini kama mzee wake anavotaka.Problem Solved.Ila kama uko seriaz oa mama mtoto wako acha mawenge
 
Wakuu ushauri wenu kwa kijana wenu Zero IQ nategemea kufanya mpango mwakani nivute jiko lakini tatizo ni kwamba mpaka sasa sijui nimuoe yupi kati ya hawa?

Niko na mahusiano na wasichana 3 ambao ni serious relation ship na kila mmoja anajua lazima nitamuoa yeye sababu ya yale tunayoyafanya,

Nimekuja kwenu wakuu kupata ushauri nitawaelezea kila mmoja kwa vile ninavyowajua mimi kwa ule muda tulio kwenye mahusiano,


1:Huyu wa kwanza nilikutana nae morogoro nilianza nae mahusiano tangu niko secondary mimi form 3 na yeye form 2
Kabila ni mpogoro ,dini ni muislamu;

Tatizo la huyu demu ni dini mzee wake ni shekhe na kila nikijaribu kumshawishi abadili dini ili nimuoe swala likifika kwa mzee wake ni tatizo wanataka mimi ndio niwe muislamu ili nivute mtoto wao na hilo swala mimi siwezi ila dogo hana tatizo tatizo ni mzee wake,

2: huyu nilikutana nae wakati niko chuo.
Kabila ni muiraq,dini mkristo,

Huyu demu nilizaa nae mtoto wa kiume tatizo la huyu demu ni kwamba nikiwa nae she is in love with me nitaona mapenzi ya dhati ambayo sijawahi ona,atanicare kwa kila namna lakini akiondoka mawasiliano huwa ni ya kawaida sana na nilishawahi kuja na uzi wake humu baada ya kukuta sms kwenye simu yangu kutoka kwa mwanamke mwingine ndio ameonyesha kubadilika now days ananitafuta kila mara.

3:huyu nilikutana nae hapo mtahani tunapoishi,

Kabila ni mchaga,dini mkristo,ni mwanamke ambae anaonekana ana vision ya maisha ila tatizo ni kwamba amenipita karibia miaka 5,
Hajawahi nionyesha kiburi au kunikela japo kwenye kucare siyo sana ni mtu anaewaza sana kuhusu future yetu.


Nipo matatani na sijui nioe yupi wakuu kila siku nikiamka naamka na wazo jipya nioe huyu kesho pia nioe huyu nashindwa kuwa na msimamo wa kweli yupi ndio nimuoe.
ukiona Muiraq, jua umeolea na majirani.. ni sawa na kupanda viazi vitamu karibu na shamba la shule ya msingi!
 
Of course mkuu kinachofanya nisiwe namuamini sana ni kwa sababu ya umbali tu ila akiwa karibu ni wife material atafanya kila kitu kwa wakati,atanionyesha mapenzi ya dhati yaani sijui niseme nini ila distance ni kikwazo sometime inafanya nisimuamini
Vuta hilo hilo jiko la GAS (Number 2), hivo vikwazo vitaisha tu. Kumbuka, wewe unavyokua hau muamini akiwa mbali, basi na yeye anakua hivo hivo juu yako (tena ukizingatia wanaume tulivyo feli kwenye mtihani wa KUVUMILIA bila kuchepuka). Hakuwekei dhamana ukiwa mbali.

Solution: Kumpandisha CHEO awe WIFE tu.
 
Vuta hilo hilo jiko la GAS (Number 2), hivo vikwazo vitaisha tu. Kumbuka, wewe unavyokua hau muamini akiwa mbali, basi na yeye anakua hivo hivo juu yako (tena ukizingatia wanaume tulivyo feli kwenye mtihani wa KUVUMILIA bila kuchepuka). Hakuwekei dhamana ukiwa mbali.

Solution: Kumpandisha CHEO awe WIFE tu.
Eti jiko la gesi mkuu
 
ukiona Muiraq, jua umeolea na majirani.. ni sawa na kupanda viazi vitamu karibu na shamba la shule ya msingi!
Kwani wairaq huwa hawaolewi mkuu mbona nilishakwenda ukweni nimekuta wapo wengi tu na ndoa zao ina maana waliooa hao wameolea na majirani mkuu?
 
Usioe yeyote kati yao hadi utakapokua. Kwasasa waache wakaolewe na WANAUME.
Sawa mkuu nimekusave mwakani mungu akijalia nitakutumia kadi uje kuhudhuria hii harusi .
 
Back
Top Bottom