Wabogojo
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 354
- 87
Pole sana Bw. Mulama!
Kwa hakika inauma sana hasa pale unapokumbuka mlikotoka mkiwa MME na MKE wa kweli lakini leo ndiyo hivyo tena. Kisa hiki kimenigusa sana kwani hata mie wife yuko nje kwa masomo na kwa bahati mbaya sana nimekwisha ona dalili za kukosa mwelekeo wa maisha tuliyokuwa tunategemea kuwa nayo siku za usoni - amebadilika sana kitabia hasa katika maisha ya NDOA takatifu, nipo home najipanga kuyakabili vilivyo haya yaliyokukuta ................................................ Pole sana mwombe Mungu akusaidie ili uisikate tamaa na nina hakika ya kuwa ataadhibiwa mkiwa hapa hapa duniani.
Kwa hakika inauma sana hasa pale unapokumbuka mlikotoka mkiwa MME na MKE wa kweli lakini leo ndiyo hivyo tena. Kisa hiki kimenigusa sana kwani hata mie wife yuko nje kwa masomo na kwa bahati mbaya sana nimekwisha ona dalili za kukosa mwelekeo wa maisha tuliyokuwa tunategemea kuwa nayo siku za usoni - amebadilika sana kitabia hasa katika maisha ya NDOA takatifu, nipo home najipanga kuyakabili vilivyo haya yaliyokukuta ................................................ Pole sana mwombe Mungu akusaidie ili uisikate tamaa na nina hakika ya kuwa ataadhibiwa mkiwa hapa hapa duniani.