baada ya kuua akapakia maiti kwenye gari na kwenda mwenyewe kituo cha polisi! R.I.P Mwavindi! Viongozi wanatuona Watz mazuzu......Shujaa mwakilishi wa wanyonge. Mpinga uonevu wa viongozi wenye majigambo na tabia ya kudhalilisha watu. Huyu alimtandika risasi na kumuua Dr Kleruu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa miaka hiyo ya 1970s baada ya kudhalilishwa na RC huyo mbele ya wake zake tena siku ya sikukuu ya Krismasi.
Ni zaidi ya makondoo.mkuuTumekuwa makondoo kupita kiasi na haya ndio matokeo yake.
Tena alipakia "mzoga" wa RC huyo kwenye gari ya serikali na kuiendesha mwenyewe hadi kituo cha polisi. Hiyo gari ndiyo hiyo hiyo iliyokuwa imetumiwa na RC huyo kwenda shambani na nyumbani kwa Mwamwindi na kumdhalilisha mbele ya familia yake. Kufika polisi akawaambia "nimewaletea huo mzoga wenu".baada ya kuua akapakia maiti kwenye gari na kwenda mwenyewe kituo cha polisi! R.I.P Mwavindi! Viongozi wanatuona Watz mazuzu......
Watumie mara ngapi?Kweli kabisa.
Na wanaochapwa nao ni umbwa kama umbwa zingine! Unaruhusuje ujinga kama huo?Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?
Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?
Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.
Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?
Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Utawala wa mkono wa chuma ndiyo ulivyo, uongozi wa wananchi haufanyi hivyo kwani uko pamoja nao.Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?
Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?
Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.
Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?
Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Kuna mmiliki wa kiwanda barabara ya Pugu aliwatandika viboko wafanakazi wake na haikushangaza baadhi ya wafanyakazi walishangilia! Unategemeaje waandamane kudai haki zao!Wapo wengi sana,hawakosekani.
Mbona tayari kitambo tuIpo siku hawatatumia viboko bali watatumia smg na ak47.
Nimekaa sit ya mbele ili nimuone mmiliki wa kile kitega uchumi anachapwa mijeredi, sijaona: hii ni adhabu ya bidagaaMbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?
Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?
Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.
Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?
Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Tuseme ukweli ndugu yangu,hivi kupigwa viboko kumi hadharani na kuingizwa mahabusu ukaozee huko miezi mitano hadi sita huku DPP na hakimu wakikupiga danadana (DPP-Nategemea kubadilisha mashtaka,Hakimu-Leo hayupo anaudhuru) ni kipi bora?Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?
Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?
Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.
Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?
Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Unajua neno "hali halisi?"Hiyo sio busara,kumnyamazia mtu anayekuonea na kushindwa kumchukulia hatua kunatokana na uwoga na unyonge tu si busara
Ungekuwa wewe uulizwe kuchapwa viboko na kwenda jela unachagua nini? Ungesemaje,huoni kwamba kuchapwa viboko wamesaidiwa? Kwanini ukaanze kusumbua polisi na mahakama wakati unaweza ukawapa adhabu hapo hapo.Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?
Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?
Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.
Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?
Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Hakika acha tuchapwe tu, hakuna namna nyingine ya kutufanya tuache uzezeta.Tumekuwa makondoo kupita kiasi na haya ndio matokeo yake.
Kwa wabongo wapi wataacha kuchapwa? Wacha watutandike fimbo tuWananchi wanabusara,ipo siku watachoka.
Tunazo mahakama za gachacha, wanao fanya uharifu kama ulio usemana mwingine mwingi unao fanya na polisi, jet nk, wanajua kuwa wanavunja sheria, lakini wanajua mahakamani hawatafikishwa, na wakifikishwa hawatafanywa lolote.Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?
Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?
Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.
Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?
Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!
Mimi siku aje Boss wangu anichape viboko! Sitakubali zitapigwa mpaka tugawane nyumba za Serikali kama sio mimi basi yeye ataenda Polisi kuchukua PF3 akatibiwe Hospital na mwingine atalala mahabusu.Mbona huu utawala wa awamu ya tano umegubikwa na mambo ya ajabu sana? Mbona tunaliabisha taifa letu?
Kama mtu ana hatia kwa nini asipelekwe mahakamani?
Sheria za hii nchi zipo wazi kuwa mtu anayepata adhabu ya corporal punishment lazima Dk athibitishe kuwa hawezi kupata madhara kama akipigwa viboko,pia adhabu hii lazima itolewe na mahakama.
Je kwa kihelehele chenu na kisabengo cha kupenda sifa mkipiga mtu akafa?
Mbona huu utawala wa awamu ya tano umekuwa na mambo ya ajabu na udhalilishaji?
Hivi Ccm hii inayojinasibu kuwa chama cha wanyonge ndio imekuwa ya kudhalilisha watu na kuacha kufuata sheria na katiba ya nchi!