wakuu naombeni ushuari wenu,,nina kiasi ka cha 200k bdo ni mwanafunzi.Sasa naomba mnishaur ninunue play station 2 kwa ajili ya biashara au ninunue smart phone?!
Kuna watu wanafanya utani sana na bar..
Kwanini?
wakuu naombeni ushuari wenu,,nina kiasi ka cha 200k bdo ni mwanafunzi.Sasa naomba mnishaur ninunue play station 2 kwa ajili ya biashara au ninunue smart phone?!
Hivi huko shule huwa mnafundishwaga ujinga??
Cc: Faizafox