NINUNUE SIMU IPI USHAURI

NINUNUE SIMU IPI USHAURI

ngosha2011

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
681
Reaction score
87
Natumia infinix S4 ina ram 3gb, storage 32gb, camera ipo safi, nataka kununua simu iwe inazidi sifa hii yangu, nina bajeti ya 400000,au kama kuna mtu anataka exchange sawa ila awe na simu juu hii ntamuongeza na pesa, isiwe iphone,
Nipo dodoma mjini,
Contact:0683357425
IMG-20190803-WA0012.jpeg
 
Mbona kama nyeusi hapo chini ina shida gani
Natumia infinix S4 ina ram 3gb, storage 32gb, camera ipo safi, nataka kununua simu iwe inazidi sifa hii yangu, nina bajeti ya 400000,au kama kuna mtu anataka exchange sawa ila awe na simu juu hii ntamuongeza na pesa, isiwe iphone,
Nipo dodoma mjini,
Contact:0683357425View attachment 1178170
 
Natumia infinix S4 ina ram 3gb, storage 32gb, camera ipo safi, nataka kununua simu iwe inazidi sifa hii yangu, nina bajeti ya 400000,au kama kuna mtu anataka exchange sawa ila awe na simu juu hii ntamuongeza na pesa, isiwe iphone,
Nipo dodoma mjini,
Contact:0683357425View attachment 1178170
Mimi nipo Tanga nikupe huawei y9 2019 uniongeze na elf 50 yaani hiyo laki 450
20190804_125051.jpeg
20190804_125100.jpeg
20190804_125032.jpeg
 
Back
Top Bottom