Danny Massawe
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,299
- 765
N dugu wana JF, nawasalimu nyote. Nipo kny hili jamvi kwa muda na nimejifunza mengi, leo kwa mara ya kwanza nimepata ziada ya kipato na nina Tsh.Milioni 6 na ningependa kuifanyia hii pesa kitu cha kukumbuka baadae nikije nikaitumia hovyo, nimeamia makazi mapya hivi karibuni na kunaumbali kidogo na kazini/mjini hivyo mimi na familia huwa tunapata tatu ya kupanda bodaboda, hivyo nimeamua kupeleka hii pesa kwenye kununua usafiri. Nawaomba ushauri ndugu zangu ninunue gari ya aina gani ambayo itanifaa ??
NB:
1.Nina familia ya watu watano
2.Kila siku natembea zaidi ya km 30
3.Barabara ninapoishi ina ni mbaya iko rafu lakini haina mashimo makubwa
4.Bajeti ni million 6
5.Wakati wa sikukuu huwa natoka Mtwara mpaka nyumbani kwa wazazi Arusha.
6.Ningependa gari inayotumia mafuta vizuri na linalodumu
7.Ninaishi Mtwara mjini
Naombeni ndugu zangu mnipe ushauri ambao utakuwa na manufaa kwangu. Ninunue gari gani na h ii million 6?
ASANTE
NB:
1.Nina familia ya watu watano
2.Kila siku natembea zaidi ya km 30
3.Barabara ninapoishi ina ni mbaya iko rafu lakini haina mashimo makubwa
4.Bajeti ni million 6
5.Wakati wa sikukuu huwa natoka Mtwara mpaka nyumbani kwa wazazi Arusha.
6.Ningependa gari inayotumia mafuta vizuri na linalodumu
7.Ninaishi Mtwara mjini
Naombeni ndugu zangu mnipe ushauri ambao utakuwa na manufaa kwangu. Ninunue gari gani na h ii million 6?
ASANTE