Nini unajivunia siku ya leo?

Najivunia utajiri nilionao huku kigamboni ๐Ÿ˜ŽโœŒ๏ธ
Wamatumbi sema wewe ni mgonjwa , hauna hata pesa ya kula ni mlevi wa kutupwa ,unahitaji msaada , utasikia Mungu atakusaidia ipo siku utafanikiwa .๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ

Ila ukisema wewe ni tajiri wa kigamboni watatoka mapovu na chuki za kufa mtu bwashee.
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Aisee umenikumbusha Kuna bidada nilimyima pesa ya kuweka wese kwenye gari yake mpaka Leo Kila nyuzi akinikuta analeta fujo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ