Nini unafahamu kuhusu pete za uchumba na ndoa

sifa kuu ya great thinker ni ku-reason kitu kinachotia mashaka! Kusema nawaone wivu wadada na ninaham ya kuvishwa pete ya uchumba, si vibaya kwani hayo ni maoni yako ila yanadalili kuwa umeshindwa ku-argue with critical arguements! Waafrika tunashindwa karibu kwa kila kitu, sababu kuu ni kutoshughulisha ubongo wetu hata kwa vitu vidogo! Kila kitu tunasubiri kuiga kwa wenzetu!! Wakati mwingine, hata 'kushadadia' vitu na mawazo ya kipuuzi kutoka ughaibuni ambayo hata hamjui maana zake kwani kimsingi kila kitu unachokiona, kina maana yake!

Uncle Jei Jei acha hasira. Aliyeleta majibu ya mungu jua hana anachokijua juu ya imani. Wao kama waliamini pete ni mungu jua mm naamini pete ni ishara/alama ya kuonyesha kuwa msichana yuko na mtu basi. Kwa nn mnataka kuwafanya watu waamini nyinyi mnavyofikilia?
 
Kupotosha uma siyo sawa. Mjazi wa ibrahimu alipotumwa kuposa binti kwa ajili ya Isaka alibeba ngamia kumi(mhari) na pete na alipofika binti alipokubali kumpa maji na kunywesha ngamia alitoa pete ya dhahabu na vikuku viwili akamvisha ikiwa ishara ya uchumba.(Mwanzo 24:22). Kuvalishwa pete ni habari ya Mungu na msimpe shetani umiliki wa dhahabu maana bibilia inasema fedha na dhahabu ni mali ya bwana. Vya babeli ni sanamu.

Una uhakika na haya maneno yako?
 
in my view naona ni alama ya commitment, kwamba uko commited na mtu tayari. Mara nyingi huwa katika umbo la duara kuonesha kwamba upendo wenu hauna mwisho. itgoes on and on.
 
in my view naona ni alama ya commitment, kwamba uko commited na mtu tayari. Mara nyingi huwa katika umbo la duara kuonesha kwamba upendo wenu hauna mwisho. itgoes on and on.

umenikumbusha ticha wangu wa falsafa daaa alinambia uzuri uko katika umbo la duara.... kumbe ndio maana pete ya mviringo eee
 
tehe tehe teh! Muache
the great arest in peace! Ki ukweli mimi sioni mantiki ya hizi pete
mkuu Ruttashobolwa, labda niungane na aliyesema nikumtuza na kudumisha
imani ya mungu jua! Watu kibao wanavalishana hizo pete, lakini uzinzi
hawaachi! So, committiment iko wapi? Kwenye pete au moyoni!

the great tena uwiiiii leo silari kidonda ambacho kimeishaanza kukaoka leo umekitonesha nakukumbuka sana baba the great.
 
kwa hiyo anayechumbia hatakiwi kuonye kuwa commited!? What i think, aliyependa(mwanaume) ndo anatakiwa kuwa commited kwa aliyempenda! Havai pete hiyo ya uchumba ili aendelee kuchumbia!?
Mkuu, Kwanza niseme Pete ni Utamaduni tu Hakuna connection yoyote kati ya pete na Upendo, au Pete na Dini;
Lakini nije kwenye Swali lako, Kwamba ni Utamaduni Tangu zamani kwamba anayeruhusu Mahusiano ya Mke na Mume yaanze ni Mwanamke na si mwanaume; In very rare cases unakuta Mwanaume ndiye anaruhusu mahusiano yaanze au La; Hivyo basi ndio maana kwenye hicho kipind cha uchumba, Aliyeruhusu mahusiano yaanze (Mwanamke) ndiye anayevishwa pete,ikiwa kama ishara(keep in mind that commitment haswa ni ya ndani ya Moyo) ya kuwa commited kwenye upande wake; Kwasababu yeye ndiye aliyeruhusu hayo mahusiano.
 
Mi Naomba kuuliza jamani inakuwaje kama umeishafanya utambulisho na mahari ishalipwa mmeishi wote kwa Mda labda wa mwaka mmoja izo hatua za pete ya u chumba sjui sends off nd hakuna tena! Au hata kama mliishi wote unaweza kuzifanya izo hatua pia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom