kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Hadi sasa sijaona afisa utumishi,mhasibu wa serikali za mitaa wala wa hazina wakiwajibishwa kwa wizi wa mishahara hewa kama tunavyosikia kila kukicha. Je ni kweli kabisa kuna watu walilipwa mishahara huku wakiwa si watumishi halali?Au ni aina mpya ya siasa?Maana nilisikia kuna mtu alikuwa anaiba mil 7 kila dk tangu 2012,ukipiga hesabu jibu la hela aliyoiba hata calculator inagoma kutoa jibu? Hiyo nikajua nisiasa tu! Je hii nayo ni siasa?