- Thread starter
- #21
lakani inawezekana vyeo vya ccm vinaharibu akiri za watu, namkumbuka mzee Kinana wakati wa kampeni alikuwa anaongea mbovu tupu. nape kabla ya kuwa katibu mwenezi alikuwa timamu, baada hicho cheo amekuwa mwingine kabisa na kadri siku zinavyoenda sitashangaa kusikia kafunguliwa fail pale milembe.