yani tofauti kubwa kati ya website na blog naeza kusema ni kua website ni formal na blog ni informal.
Hizi ni tofauti chache nyengine za blog na website
-Blog inakua updated mara kwa mara wakati website inakua updated mara chache
-hizi blog zinakua informal zipo zipo tu na zinafanana nyingi lakini website zinakua formal tena zipo proffesional zimekua designed kwa hali ya juu
-katika blog kuna interactive yani mtu anapost watu wanacoment na yeye anawajibu lakini katika website hamna hivi ni only communication yani mtu anaandika na we unasoma basi
-kitu chengine website ni transactional yani unafanya manunuzi unaeka kadi ya benk wanakata hela unapata bidhaa ila blog hamna
Mwisho naeza kusema kila mtu anaweza kuwa na blog na kila shirika na biashara inatakiwa iwe na website.
Kuhusu portal ni aina ya site ambayo inakusanya vitu vingiiiiiiii katika sehemu moja inakua kama search engine sema inakua na vitu vingi zaidi. na sio lazima hivo vitu viwe vyao.
Mfano wa portal ni igoogle (sio google), au yahoo.com ukiingia utaona wana games, habari, email service na madude kibao
Mkuu heshima mbele,yani tofauti kubwa kati ya website na blog naeza kusema ni kua website ni formal na blog ni informal.
Hizi ni tofauti chache nyengine za blog na website
-Blog inakua updated mara kwa mara wakati website inakua updated mara chache
-hizi blog zinakua informal zipo zipo tu na zinafanana nyingi lakini website zinakua formal tena zipo proffesional zimekua designed kwa hali ya juu
-katika blog kuna interactive yani mtu anapost watu wanacoment na yeye anawajibu lakini katika website hamna hivi ni only communication yani mtu anaandika na we unasoma basi
-kitu chengine website ni transactional yani unafanya manunuzi unaeka kadi ya benk wanakata hela unapata bidhaa ila blog hamna
Mwisho naeza kusema kila mtu anaweza kuwa na blog na kila shirika na biashara inatakiwa iwe na website.
Kuhusu portal ni aina ya site ambayo inakusanya vitu vingiiiiiiii katika sehemu moja inakua kama search engine sema inakua na vitu vingi zaidi. na sio lazima hivo vitu viwe vyao.
Mfano wa portal ni igoogle (sio google), au yahoo.com ukiingia utaona wana games, habari, email service na madude kibao
Wakuu,
Kama mmeshawahi ku-discuss hapa, naomba link!.
Natatizwa sana na hivi vitu, website ya kawaida, web portal na blog.
Nini tofauti yake, in terms of contents, functions and technologies used to make them.
Shukran
yani tofauti kubwa kati ya website na blog naeza kusema ni kua website ni formal na blog ni informal.
Hizi ni tofauti chache nyengine za blog na website
-Blog inakua updated mara kwa mara wakati website inakua updated mara chache
-hizi blog zinakua informal zipo zipo tu na zinafanana nyingi lakini website zinakua formal tena zipo proffesional zimekua designed kwa hali ya juu
-katika blog kuna interactive yani mtu anapost watu wanacoment na yeye anawajibu lakini katika website hamna hivi ni only communication yani mtu anaandika na we unasoma basi
-kitu chengine website ni transactional yani unafanya manunuzi unaeka kadi ya benk wanakata hela unapata bidhaa ila blog hamna
Mwisho naeza kusema kila mtu anaweza kuwa na blog na kila shirika na biashara inatakiwa iwe na website.
Kuhusu portal ni aina ya site ambayo inakusanya vitu vingiiiiiiii katika sehemu moja inakua kama search engine sema inakua na vitu vingi zaidi. na sio lazima hivo vitu viwe vyao.
Mfano wa portal ni igoogle (sio google), au yahoo.com ukiingia utaona wana games, habari, email service na madude kibao
Mkuu heshima mbele,
Ahsante kwa majibu haya.
Je waweza kwenda mbele zaidi, kama kunatofauti katika tools na scripting languages wakati wa ku-develop hizi?
yani tofauti kubwa kati ya website na blog naeza kusema ni kua website ni formal na blog ni informal.
Hizi ni tofauti chache nyengine za blog na website
-Blog inakua updated mara kwa mara wakati website inakua updated mara chache
-hizi blog zinakua informal zipo zipo tu na zinafanana nyingi lakini website zinakua formal tena zipo proffesional zimekua designed kwa hali ya juu
-katika blog kuna interactive yani mtu anapost watu wanacoment na yeye anawajibu lakini katika website hamna hivi ni only communication yani mtu anaandika na we unasoma basi
-kitu chengine website ni transactional yani unafanya manunuzi unaeka kadi ya benk wanakata hela unapata bidhaa ila blog hamna
Mwisho naeza kusema kila mtu anaweza kuwa na blog na kila shirika na biashara inatakiwa iwe na website.
Kuhusu portal ni aina ya site ambayo inakusanya vitu vingiiiiiiii katika sehemu moja inakua kama search engine sema inakua na vitu vingi zaidi. na sio lazima hivo vitu viwe vyao.
Mfano wa portal ni igoogle (sio google), au yahoo.com ukiingia utaona wana games, habari, email service na madude kibao
xo guy kwa maelezo yenu! JAMIIFORUMS ni portal au web, na FACEBOOK je?
....Kwa mfano Wordpress [nadhani ndiyo inatumika zaidi ya zote] , Habari, FlatPress, MovableType, Drupal [CMS], jumla [CMS], DotNetNuke [CMS]. Kwa kifupi CMS (content management systems) zina uwezo zaidi ya blogs....
JF ni website ya aina ya forum. FB ni website ya aina ya social networking.
Elewa kuwa zote ni websites za aina fulani fulani tuu mkuu.
xo guy kwa maelezo yenu! JAMIIFORUMS ni portal au web, na FACEBOOK je?
technically JF ni Discussion forums. FB ni SN... Period!Jamiiforums na facebook zote ni social networks hakuna tofauti
Contradiction seem to be normal way of life...hakuna tofauti, tofauti iliyopo ni
technically JF ni Discussion forums. FB ni SN... Period!
Since everything in webs is about excanging information so there is no difference btn Everything webKwenye FB hakuna discussion? SN ni nini?
yani tofauti kubwa kati ya website na blog naeza kusema ni kua website ni formal na blog ni informal.
Hizi ni tofauti chache nyengine za blog na website
-Blog inakua updated mara kwa mara wakati website inakua updated mara chache
-hizi blog zinakua informal zipo zipo tu na zinafanana nyingi lakini website zinakua formal tena zipo proffesional zimekua designed kwa hali ya juu
-katika blog kuna interactive yani mtu anapost watu wanacoment na yeye anawajibu lakini katika website hamna hivi ni only communication yani mtu anaandika na we unasoma basi
-kitu chengine website ni transactional yani unafanya manunuzi unaeka kadi ya benk wanakata hela unapata bidhaa ila blog hamna
Mwisho naeza kusema kila mtu anaweza kuwa na blog na kila shirika na biashara inatakiwa iwe na website.
Kuhusu portal ni aina ya site ambayo inakusanya vitu vingiiiiiiii katika sehemu moja inakua kama search engine sema inakua na vitu vingi zaidi. na sio lazima hivo vitu viwe vyao.
Mfano wa portal ni igoogle (sio google), au yahoo.com ukiingia utaona wana games, habari, email service na madude kibao