tgeofrey
JF-Expert Member
- Jan 29, 2008
- 561
- 15
Mara zote mtu ananapotata cheo hasa cha kuteuliwa tuna kauli ya ukweli tunasema kwamba fulani kaula.
Kuula huku kuna maana gani?? Hoja hii haina maana ya kubadilishwa jinsi ya hali halisia ya jambo hili. Je kwa mawazo yako kuna uwezekano waulaji hao wakatatua matatizo ya wananchi kwa dhati ili anagalau kauli isemayo cheo ni dhamana itimie??
Kuula huku kuna maana gani?? Hoja hii haina maana ya kubadilishwa jinsi ya hali halisia ya jambo hili. Je kwa mawazo yako kuna uwezekano waulaji hao wakatatua matatizo ya wananchi kwa dhati ili anagalau kauli isemayo cheo ni dhamana itimie??