nini tofauti kati ya Mkoba na Ulimboka ??

nini tofauti kati ya Mkoba na Ulimboka ??

Tofauti ni kwamba, mmoja alianzisha mgomo ili apate pesa baada maana alijua serikali itampatia chochote ili asitishe mgomo, na chance ilipopatikana hakulaza damu. Mwingine yeye aliataa kuhongwa hivyo aka be mabwepandelized.
 
Ukitumia lunga ya kivita mkoba ni askari mtiifu na ulimboka ni askari muasi, hapo kwenye neno askari waweza pia tumia neno afisa..vita ya kudai haki.
 
Mtu yeyote anayetumia magazeti kuingia ikulu, akishaingia atatumia bunduki kuhakikisha anabaki huko ikulu (Sumaye, 2005).
kwa kauli hii, Mabwepande panatisha kaka, hata kama ingekuwa wewe ungetii amri tu, labda uwe na moyo kama wa mwendawazimu vile.
 
Ukitumia lunga ya kivita mkoba ni askari mtiifu na ulimboka ni askari muasi, hapo kwenye neno askari waweza pia tumia neno afisa..vita ya kudai haki.
aai ndo waliochuuka Ikulu Libya, Misri, Uganda enzi hizo mseven ni muasi, Kagame na sas Syria.. Ila wakishatwaa ikulu hwa hawatwiwaasiwankuwa Watawala. na kuitwa His Excelence ......
 
Mtu yeyote anayetumia magazeti kuingia ikulu, akishaingia atatumia bunduki kuhakikisha anabaki huko ikulu (Sumaye, 2005).
kwa kauli hii, Mabwepande panatisha kaka, hata kama ingekuwa wewe ungetii amri tu, labda uwe na moyo kama wa mwendawazimu vile.

Hakuhitaji kwa na Moyo wa Mwndawazm mkuu ila inahtaji Nafsi iliyojiandaa kisaikolojia kwa matokeo yoyote yale..Ndicho klichokuwa ka Dr Ulimboka.. I kno the Man he is Very determined.
 
Back
Top Bottom