everybody
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 337
- 103
Wakuu, ningependa kufahamu kama kuna utofauti kati ya halmashauri zinazoongozwa na upinzani (specifically CHADEMA) na zile zinazoongozwa na CCM kwenye taarifa ya kamati ya Hesabu za Serikali za mitaa ((LAAC) iliyowakilishwa na Lyatonga mrema . Je kuna mwenye undani wa hii taarifa atusaidie? Ingawa zipo chache hili litatusaidia zaidi kuupima utendaji wa upinzani.