Zikoje hizo? Mbona china inaharibu soko la wahindi!Kuna boxer ambazo zinatoka China angalia kadi yako ya umiliki hizo ndio mbovu
angalia sana,mara nyingi mafundi huwa wana kawaida ya kuchonga ring,hawaweki original,hivyo usitegemee mashine itakuwa imara,pia moshi huwa unatofautiana,ni aina gani ya moshi unaotoka,pengine air intake valve haifunguki inavyotakiwaHabari wanajf.tatizo la pikipiki aina ya boxer la kutoa moshi ni nini?.mie yangu imenishinda nimefunga ring piston.tatizo lipo pale pale.nikanunua block bado tatizo lipo palepale.huwa nikifunga inatembea wiki moja tu inaanza kusmoke.nini tatizo wadau la hizi pikipiki?
Nimenunua sana valve.nilienda mwanza wanaponunuliaga vifaa hivyo.wakaniambia kuwa .vijijini hawapo mafundi wa boxer hasa ktk uwekaji wa ring piston.eti wanaziharibu boxer tu.wakaniambia niwapelekee huko mjini.angalia sana,mara nyingi mafundi huwa wana kawaida ya kuchonga ring,hawaweki original,hivyo usitegemee mashine itakuwa imara,pia moshi huwa unatofautiana,ni aina gani ya moshi unaotoka,pengine air intake valve haifunguki inavyotakiwa
Nilinunua block ya 140000.ila tatizo in palepale.nilienda Nilikonunulia wakaniambia kuwa vijijini bado hakuna mafundi wa boxer.wakasema niwapelekee mjini.wao ndo wanafundi waohiyo yako tatzo ni block na ukinunua block za kichna za 60000 ukifunga baada ya muda itarudia tena ila ukinunua block original ya 140000 utasahau tatzo mm ya kwetu ilikuwa hivyo hvyo mwaka saa hz hakuna kitu
sisi tulibadilisha ring piston na vitu vingine kwa ndan na kusafisha filterNilinunua block ya 140000.ila tatizo in palepale.nilienda Nilikonunulia wakaniambia kuwa vijijini bado hakuna mafundi wa boxer.wakasema niwapelekee mjini.wao ndo wanafundi wao