Nini tafsiri yako kwa kauli hii ?

Nini tafsiri yako kwa kauli hii ?

Zed

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2009
Posts
553
Reaction score
540
Waziri mkuu 'mstaafu' Edward Lowassa aliwahi kutoa kauli hii na ameirudia tena kama onyo kwa watanzania na wanahabari. Je nini tafsiri yako mtanzania?

"Hatukukutana na Rais Kikwete barabarani, narudia tena, hatukutana na rais Kikwete barabarani!" alisema Edward N. Lowassa
 
Urafiki wake na jk sio ule wa kukutana kimjinimjin bali wanajuana vema" kusalitiana haiwezekan...!
 
Urafiki wao ulianza muda mrefu mpaka Lowasa akamlipia fomu ya urais mwaka 2005
 
La Lowasa ndiyo la Kikwete,hata kauli za Kikwete kupambana na ufisadi wa Lowasa ni geresha tu!
 
Hatanikivurunda namna gani nategemea atani-protect always!
 
Walianza uhuni na kuibia nchi na wananchi wakiwa wote.
 
Back
Top Bottom