Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,983
Mkuchika nae kijana. Huyu mkuchika ni kielelezo cha viongozi wala rushwa kwenye hii nchi. Alishasababisha nikaacha kazi kwenye ofisi moja ya umma hapa nchini. Nilienda kwao kwa vijijini kuhakiki mali zake. Nilivyofika mkuchika hayupo nikamkuta babake. Baba kwa kutojua lengo langu akanipitisha kwenye mali zote za mtoto wake. Baada ya muda mkuchika akapiga simu akambiwa kunamgeni kaja katwambia tumpitishe kwenye mali zako je ulimtuma? Mzee akapanic sana sana na kuanza kunifuatilia. Niliporudi ofisini nilipihwa majungu hadi nikaamua kuacha kazi.Nilikuwa sijafuatilia vizuri wateuliwa hawa...
Baada ya kuangalia vizuri nimeona kuna vijana wengi ambao wameaminiwa kufanya kazi kubwa hizi.
Mfano pekee ni Mh UWESO wa pangani, kijana ambaye sio nyota yake inang'aa ktk medani za siasa, Na vijana wengine wengi ambao wapo ktk baraza hili wanaoapishwa leo.
Hizi sura za vijana zinatupa picha gani?
Kwa maoni yangu ni hatua nzuri kuwaandaa vijana miaka ijayo tuweze kuwa na watu wa kuchukua nafasi kubwa nchini. VIJANA WA SASA NDIO TAIFA LA KESHO NA NDIO VIONGOZI WA KESHO.
Leo kuna mijitu inasema sijui Tanzania mpya sijui nini? Hawa kina mkuchika ni matajiri halafu kuna mtu anatwambia ana uchungu na nchi wakati hata mali zake hajatangaza