PRECIOUSNESS
Member
- Apr 10, 2013
- 54
- 13
niliwah kukumbana nayo hii kwa dada yang tulipoenda kumuuliza mchungaj alisema inamaana kwmb kuna mambo mabaya yatampata hvyo tuombe kwa bidii ili yasimpate,na kwel ilitokea lkn coz tulikuwa
tumeshaomba hayakumdhuru.Unaweza kushare na mm ni mambo gan hayo mabaya kama hautojal, hata kwa kuni pm ntashukuru sana.