donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
- Thread starter
- #21
Nikuulize,hiyo escort ya watu wawili alikuwa amekaa nao wanasema alitoweka vipi? bado sioni uhalisia wa story yako
mkuu,wale jamaa walvofika main gate na mataa yakawasha, c.o wa kikosi nae akaja pale getini. sasa wale 2 escorts waliposhuka wakahault kwa c.o kumsalimia ili aweze kuwaruhus kumshusha yule bwana,walipopewa green light kugeuka nyuma hawakumuona mtu