donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
salaam wakuu,
habari za mchana? kwa kifupi mi ningependa kufaham nin siri ya maajabu ya hawa viumbe wa 92kj. juzi kuna komando 1 alikuja pale mlandiz ucku kunywa bia, sasa baada ya kulewa akataka arudi mpaka ngelengele kwa kucrawl, na kwel akaanza kuanzia pale sheli na kwnda umbali mref kdgo tena kwa spidi ya hatari. ilipigwa simu kikosn kwet hapa 832kj nakutumwa defndr yenye ma mp kwenda kumchkua. cha ajabu jamaa alikubali fresh kwenda ila walipofika main gate hawakuweza kumuona yule komando ndan ya gari wakat alikua na escort ya watu wawil wamekaa nae kwenye gar kushoto na kulia af lock zilikua zimefungwa milango. nikiunganisha na ile ishu ya JK alipotembelea pale 92 ndo najiuliza hawa jamaa wana siri gan kwenye mafunzo yao?
habari za mchana? kwa kifupi mi ningependa kufaham nin siri ya maajabu ya hawa viumbe wa 92kj. juzi kuna komando 1 alikuja pale mlandiz ucku kunywa bia, sasa baada ya kulewa akataka arudi mpaka ngelengele kwa kucrawl, na kwel akaanza kuanzia pale sheli na kwnda umbali mref kdgo tena kwa spidi ya hatari. ilipigwa simu kikosn kwet hapa 832kj nakutumwa defndr yenye ma mp kwenda kumchkua. cha ajabu jamaa alikubali fresh kwenda ila walipofika main gate hawakuweza kumuona yule komando ndan ya gari wakat alikua na escort ya watu wawil wamekaa nae kwenye gar kushoto na kulia af lock zilikua zimefungwa milango. nikiunganisha na ile ishu ya JK alipotembelea pale 92 ndo najiuliza hawa jamaa wana siri gan kwenye mafunzo yao?