Nini ni tishio kubwa la usalama wa compter yako?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Watu wengi wamekuwa na mtazamo mdogo juu ya Usalama (security) usalama katika computer nyumbani, na hata maofisini.
Tunapoongela secuity watu wengi wanadhani tishio(Threat) Kubwa katika usalama na uhai (seucity) wa computer ni virus

Woga au kipaumbele(priority) kikubwa kujikinga dhidi ya mashumbulizi ya virus linatokana na computer nyingi kuwa zineunganishwa kwenye mtandao iwe ni ya interneta au ya maofisini.

Lakini changamoto na swali muhimua la kujiiliza ni je tunajua adui au matishio makubwa zaidi na mengine ni hatari kwa usalama wa computer zaidi ya virus?

Kila mtu anaweza kufanya mchangamuo (Assesment) kugudua ni kitu gani hasa ni tishio kubwa wa usalama wa computer .
Katika kila tishio ( eg virus,Hard disk kufa, laptop kuibiwa etc ) utakalobanisha jiulize na jipe maibu ya maswali haya

  • Linaweza kutokea mara ngapi ( frequency of a threat to happen)
  • Likitokea madhara yake ni nini
  • Umejilidaje na tishio hilo.?
Kuhusu virus nadhani watu wengi wana antivirus nzuri tu lakini je vipi kuhusu ulinzi wa data? Tuelewe sio lazima kujilinda na kila tishio unless tuna pesa za kuchezea. Ndio maana ya kufanya Assesment hii hapo juu ili ugundue ni vitu gani vya msingi zaidi.

Binafsi kwenye computer yangu najua tishio na virusi linaweza kutoka mara kwa mara lakini madhara ya virusi sio makubwa sana. Nasema hivi sabau ni virus wachache wanaopoteza data. Virus san asana wanavuruga ufanyaji kazi wa OS au program. Hili ni tatizo lakini as long as data zipo safe impact ya virus sio kubwa.

Upande mwingine kuna tishio la data kupotea ,kuibiwa au HDD kufa. Tishio hili ni nadra kutokea lakini likitokea hasara yake na madhara yake ni makubwa mno kuliko ya virus................................

Na kwa wale wanaotumia desktop kwa mazingira ya Tanzania Power fluctuations na katika katika ya umeme inaweza kuwa ni tishio kubwa kuliko virus.

Ushauri
Kuwa na copy mbili au tatu ya data zako muhimu( backup). Data loss is more expensive and big threat than computer virus.
Sasa ni mbinu na njia gani unatumia kuhakisha usalama wa data muhimu kwenye computer yako?

Kuna njia nyingi . Nitataja chache

  • Google wana googledocs https://docs.google.com. Hiini njia nzuri unaweza kweka backup ya vitu vyako muhimu online . Binafsi kwangu hii ni njia secured kuliko kuuifadhi mambo muhimu mwenyewekwenye computer .

  • Tumia external HDD
Haya nimenadika hapa nimeunganisha na kusumarize mambo nilyosoma sehemu mbali mbali kama
IT risk - Wikipedia, the free encyclopedia
Risk Analysis Techniques - Problem-Solving Training from MindTools.com
Introduction to Security Risk Analysis & Security Risk Assessment

Nawasilisha kwa hoja kinzani, maswali na nyongeza
 
Mkuu mada nzuri sana hii, hasa mamb ya backup.
Nijuze vizuri kuhusu backup ya online naona kama ku upload mzigo wote ktk pc kama backup itachukua muda gani na speed ya mitandao yetu.
 
Mkubwa mada ni nzuri,na nadhani itanisaidia kujua mambo mawili matatu ambayo nilikuwa siyajui kuhusu usalama wa computer yangu na data zangu kwa ujumla,mimi binafsi natumia external hard disk kuhifadhi data zangu,lakini pia kwa mtazamo wangu mimi naona kama cd ndo njia nzuri somehow ya kuhifadhi data zangu,co zote but zile muhimu sana,kwasababu nilikuwa napenda kuweka katika external hard disk,lakini naogopa sana matatizo kama hard disk inaweza ku corrupt au shambulio la virus wanaoweza kula(kufuta) ma file yangu nimeshaona sana hiki kitu na sana sana kwa mtu kama mimi ninayependa ku download vitu mbalimbali,pia kitu kama hard disk nahofia may be ninaweza kuidondosha then ikaharibika na nikapoteza vitu vyangu muhimu,so kitu kama cd itadepend na utunzaji wako,just kuzuia tu isipate Scratches, na isivunjike pia,but kuhusu njia ya ku upload sijawahi kuitumia na may be ungetuambia huduma hiyo ni bure au ya kulipia!
 
Mkuu mada nzuri sana hii, hasa mamb ya backup.
Nijuze vizuri kuhusu backup ya online naona kama ku upload mzigo wote ktk pc kama backup itachukua muda gani na speed ya mitandao yetu.

nadhani fanya assesment tu kkujua ni data gani hasa huwezi ku afford zipotee . Hata kama ni zote zilizo kwenye computer bado zinatofautina kwa umuhimu. So unaweza kuhamsha taratibu

Mkubwa mada ni nzuri,na nadhani itanisaidia kujua mambo mawili matatu ambayo nilikuwa siyajui kuhusu usalama wa computer yangu na data zangu kwa ujumla,mimi binafsi natumia external hard disk kuhifadhi data zangu,lakini pia kwa mtazamo wangu mimi naona kama cd ndo njia nzuri somehow ya kuhifadhi data zangu,co zote but zile muhimu sana,kwasababu nilikuwa napenda kuweka katika external hard disk,lakini naogopa sana matatizo kama hard disk inaweza ku corrupt au shambulio la virus wanaoweza kula(kufuta) ma file yangu nimeshaona sana hiki kitu na sana sana kwa mtu kama mimi ninayependa ku download vitu mbalimbali,pia kitu kama hard disk nahofia may be ninaweza kuidondosha then ikaharibika na nikapoteza vitu vyangu muhimu,so kitu kama cd itadepend na utunzaji wako,just kuzuia tu isipate Scratches, na isivunjike pia,but kuhusu njia ya ku upload sijawahi kuitumia na may be ungetuambia huduma hiyo ni bure au ya kulipia!

Yah lakini kwa mtazamo wangu bado external HDD ni salama zaidi kuliko CD au DVD. Hao virus unaoogopa wanweza kuathiri data hata mbaatzo ziko kwenye CD. na vile vile CD ziko vulnerable kwa na vitu vingi kama scratch ndogo tu, ni rahi CD kuvunjika.

kwa mtazamo wangu naon External USB au external HDD bado ni bora kuliko CD au DVD

Nadhani ukiamua kufanya Extenal yako iwe backup device ya data muhimu hutakiwi kuitumia mara kwa mara. Unaitumia pale tu unapotoaka kufanya back up then basi.

Yaani uwe na External kwa ajili ya back up uwe na extenal ya kufanya kazi za kila siku.

Externa har disk nyingi zinakuwa kwenye kamfuko ambako hata kakidondka basi hapati madhara. Lakini kama unahofia kudondoka basi inabidi uhofie CD zaidi. CD si salama bora external HDD au USB hata ikiharibika watu wanaweza kufufua data baada ya kazi kubwa lkini kwa CD ikitokea bahati mbaya ikamegeka..... kazi itakuwa kubwa mara alfu

Mimi naona option nzuri za kuwa na back ni mbili . External storage pamoja na kuweka file online


Hiyo googledocs http://www.google.com/google-d-s/b1.html ni bure unachtakiwa kuwa nacho ni account ya gmail amabayo nayo ni bure.

nadhani zipo web nyingine pia zinatoa huduma kama hiyo
 
mimi mwenyewe ni mfano hai pc yangu ilikorupt once na baadhi ya data pamoja na proram baathi nilizisave kwenye google docs ikawa rahisi kusipata so huo ndo umuhimu wa kusave online
 
sawa mzazi nimekupata,,hasahasa hapo ktk ku backup data,wazo zuri na njia salama hata me mwenyewe sikujua ila from now ndo itakua njia yangu ya kuhifadh data
 
nadhani fanya assesment tu kkujua ni data gani hasa huwezi ku afford zipotee . Hata kama ni zote zilizo kwenye computer bado zinatofautina kwa umuhimu. So unaweza kuhamsha taratibu



yah lakini kwa mtazamo wangu bado external hdd ni salama zaidi kuliko cd au dvd. Hao virus unaoogopa wanweza kuathiri data hata mbaatzo ziko kwenye cd. Na vile vile cd ziko vulnerable kwa na vitu vingi kama scratch ndogo tu, ni rahi cd kuvunjika.

Kwa mtazamo wangu naon external usb au external hdd bado ni bora kuliko cd au dvd

nadhani ukiamua kufanya extenal yako iwe backup device ya data muhimu hutakiwi kuitumia mara kwa mara. Unaitumia pale tu unapotoaka kufanya back up then basi.

Yaani uwe na external kwa ajili ya back up uwe na extenal ya kufanya kazi za kila siku.

Externa har disk nyingi zinakuwa kwenye kamfuko ambako hata kakidondka basi hapati madhara. Lakini kama unahofia kudondoka basi inabidi uhofie cd zaidi. Cd si salama bora external hdd au usb hata ikiharibika watu wanaweza kufufua data baada ya kazi kubwa lkini kwa cd ikitokea bahati mbaya ikamegeka..... Kazi itakuwa kubwa mara alfu

mimi naona option nzuri za kuwa na back ni mbili . external storage pamoja na kuweka file online


hiyo googledocs Google Docs ni bure unachtakiwa kuwa nacho ni account ya gmail amabayo nayo ni bure.

Nadhani zipo web nyingine pia zinatoa huduma kama hiyo

thanks mkuu.
 
Back
Top Bottom