Katika kupitia pitia mitandao mbali mbali kujaribu kubaini kwanini tumeshindwa kabisa kufanya mabadiliko kwa kuchagua viongozi wengine badala ya hawa waliotutawala kwa miaka yote hii bila kutupa maendeleo tunayo stahiki. kila chaguzi wanashinda eti kwa ushindi wa kishindo, hebu tembelea http://en.wikipedia.org/wiki/One_party_dominant_state upate kuhabarika ni mfumo gani tunao utumia nchi hii. hapa ndipo utakapo baini katiba nimoja ya suluhisho la haya yote, hakuna lisilo wezekana tukiamua kweli kweli, lakin vinginevyo kazi bado ni ngumu uchaguzi wa mwaka huu kwa wapinzani