Jamani,
Tunaposema Wabeba box haina maana kama mnavyofikiria..Huku majuu kazi zote za kuajiriwa tunaita kubeba box haina maana zaidi ya msemo tu.. sawa na Bongo mnaposema Walalahoi haina maana kila mtu asiye kiongozi ni Mlala hoi na alala hoi kweli!
Tunaposema Wabeba box haina maana kama mnavyofikiria..Huku majuu kazi zote za kuajiriwa tunaita kubeba box haina maana zaidi ya msemo tu.. sawa na Bongo mnaposema Walalahoi haina maana kila mtu asiye kiongozi ni Mlala hoi na alala hoi kweli!