Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,077
Azimio la arusha kilikuwa labkinyonyaji sana
Ndiyo,ila lazima ufafanue kidogo: Vipengele fulani vya Azimio la Arusha vililenga kunyonya wanaojituma kusaidia wavivu!
Azimio la arusha kilikuwa labkinyonyaji sana
Katiba ya CHADEMA umeisoma na kuielewa ? Ama, unataraji nani akueleze kuhusu hili? Kwa uhakika wa uimara wetu, kama taifa, misingi ya Azimio la Arusha haikwepeki; hivyo, naamini CHADEMA pia hawapingani nayo.
Katiba ya CHADEMA umeisoma na kuielewa ? Ama, unataraji nani akueleze kuhusu hili? Kwa uhakika wa uimara wetu, kama taifa, misingi ya Azimio la Arusha haikwepeki; hivyo, naamini CHADEMA pia hawapingani nayo.
Mkuu wangu, kuweka misingi kwenye katiba haitoshi. Hata CCM wanayo baadhi ya misingi hiyo lakini ndio hii CCM tunayoiona leo, ambayo imejenga thamani ya MTU kuwa KITU chake na si UTU wake. Matokeo yake, ni vita ya kupigani KITU-HULKA-KUPIGANIA UKUU/KUJIKWEZA kila ldo. Muhimu hapa, ni kupima FIKRA kuu za hivi vyama kama zinaweza kutufikisha kwenye hayo mazuri wanayoyahubiri kwenye katiba labda ama sera zao! Tunachokubaliana ni kuwa AZ ni uharo, na CCM ya leo na CDM wamezaliwa humo! TAFAKARI CHUKUA HATUA MKUU WANGU.
Wewe binafsi una nafasi muhimu katika kuleta Ukombozi kuliko hizo katiba za vyama vyenu! Kamwe MANTIKI haiwezi kukiukwa na ikatuacha salama!
Mkuu Highlander, naona ulikwepa kunijibu post yangu uliyodai nivute subira, kuhusu FAIDA na nikasubiri siku nzima! Uliporudi hukuijibu, nimekuwekea bandiko jingine, umeamua kujibu vioja badala ya hoja! Nadhani ulikuja na misimamo yako ambayo uliapa kutoivunja! Nachokushuru, umenipa nafasi ya kuyaandika mengi. Wapo watakaosoma!
Mungu wetu anaita sasa!