Kwa wale mnajua sheria na masuala ya kiuchumi naomba mnielimishe madhara kwa serikali kutokana na kambi ya upinzani kutosoma bajeti zao mbadala.
Mbowe anaweza kujadili jambo gani na div 0 yake ya form six?,usitake kuchekesha watu hapaHivi Sizonje unaweza kumuweka na Mbowe katika level ya kujadili kitu wakalingana? Labda mjadili maganda ya korosho ndio Sizonje anaweza kuonekana mjuzi
Wewe anazungumzia kutokusomwa kwa Bajeti ya Upinzani Bungeni kuna madhara gani..... Wewe unakuja na ngonjera zakoUpinzani hauko serious na mambo muhimu ya wananchi ...walishasusa sana na mara nyingi huko bungeni.
These are the qualities of a dictatorship government. Mnamuandikia historia JIWE!Bajeti kivuli zenyewe zimejaa mitusi na kashifa kwa serikali ,bora zifutiliwe mbali
Bab yako mbona ni ngumbalu na alikuzaa wewe taahira!Mbowe anaweza kujadili jambo gani na div 0 yake ya form six?,usitake kuchekesha watu hapa