MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,172
- 23,975
Kwa wale mnajua sheria na masuala ya kiuchumi naomba mnielimishe madhara kwa serikali kutokana na kambi ya upinzani kutosoma bajeti zao mbadala.
Jana Mbowe alisema kambi ya wapinzani haiwezi kusoma bajeti zao mbadala mpaka pale ofisi ya Spika itakapowapa wafanyakazi 12.
Nimesoma pia gazeti la Tanzania Daima linadai huo ni "Msimamo Mkali" kwa serikali.
Neno "Tamko Zito" limenifanya nitafute uelewa wa athari kwa serikali.
Je, kutofanya hivyo kutasababisha bajeti kutopita?
Je, bunge haliwezi kuendelea na shughuri zake?
Magwiji wa sheria naomba mnielimishe kwa sababu elimu haina mwisho!
Jana Mbowe alisema kambi ya wapinzani haiwezi kusoma bajeti zao mbadala mpaka pale ofisi ya Spika itakapowapa wafanyakazi 12.
Nimesoma pia gazeti la Tanzania Daima linadai huo ni "Msimamo Mkali" kwa serikali.
Neno "Tamko Zito" limenifanya nitafute uelewa wa athari kwa serikali.
Je, kutofanya hivyo kutasababisha bajeti kutopita?
Je, bunge haliwezi kuendelea na shughuri zake?
Magwiji wa sheria naomba mnielimishe kwa sababu elimu haina mwisho!