Nini maana ya uhujumu uchumi?

Mtundu wa Tech

JF-Expert Member
Aug 19, 2019
642
606
Habari wa JF!!

Kila nikipitia makala mbali mbali huwa nakutana sana na maneno haya "Uhujumu uchumi na Utakatishaji fedha".

Naulizia haya maneno yanamaana gani na yanatumika kwa kitendo gani kibaya katika jamii yetu?
Maana neno utakatishaji fedha yaani money laundering hili naona kama linaeleza kuzisafisha zile fedha badala ya kutumia vibaya. Sasa wengi wetu tukikosea kidogo na tukikamatwa na vyombo vya usalama huwa hatukawii kuambiwa kuwa tumetakatisha fedha au tumehujumu uchumi.

Sasa mimi nataka kufahamu maana ya hayo maneno mawili na mifano yake, isije nami nikakamatwa kisha nikaambiwa hivyo wakati sijui chochote kuhusu uhujumu uchumi au utakatishaji fedha.

Nitoeni matongotongo wanaJF ili nielewe maana ya haya maneno.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtundu wa Tech,
Kutakatisha fedha
Kutumia fedha ya serikali uliiyoipa kwa njia isiyo halali kwenye shughuri halali... mfano unaiba fedha serikali iliyotengwa kwa jambo fulani unakuja kufungulia showroom na unalipa kodi zote

Nipo tayari kurekebishwa
 
Kutakatisha fedha
Kutumia fedha ya serikali uliiyoipa kwa njia isiyo halali kwenye shughuri halali... mfano unaiba fedha serikali iliyotengwa kwa jambo fulani unakuja kufungulia showroom na unalipa kodi zote

Nipo tayari kurekebishwa

Sio lazima iwe fedha ya serikali tu mkuu,ni kupata pesa kutoka katika chanzo chochote kile kichafu/illegal kama vile ujambazi,rushwa,magendo,ugaidi etc na kuzitumia/kuziingiza hizo hela katika biashara/mzunguko halali(kuanzisha duka,kujenga nyumba ya kulala wageni etc

Nipo tayari kurekebishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio lazima iwe fedha ya serikali tu mkuu,ni kupata pesa kutoka katika chanzo chochote kile kichafu/illegal kama vile ujambazi,rushwa,magendo,ugaidi etc na kuzitumia/kuziingiza hizo hela katika biashara/mzunguko halali(kuanzisha duka,kujenga nyumba ya kulala wageni etc

Nipo tayari kurekebishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nazani hii inaweza kusababisha mfumko wa bei nchini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kesi nlikutana nayo kitambo Sana Enzi za sim za TTCL mambo ya international line?
Nkaitengua ila ingekuwa sahivi sjui ingekuwaje?

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuibadirisha pesa haramu ukiyoipata kwa njia haramu kama vile wizi, kupitia biashara haramu kama vile madawa ya kulevya. Kuifanya iwe halali kupitia biashara halali... Pesa haramu unaingiza kwenye biashara halali inatoka pesa mpya ilitakata pesa halali hiyo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wa JF!!

Kila nikipitia makala mbali mbali huwa nakutana sana na maneno haya "Uhujumu uchumi na Utakatishaji fedha".

Naulizia haya maneno yanamaana gani na yanatumika kwa kitendo gani kibaya katika jamii yetu?
Maana neno utakatishaji fedha yaani money laundering hili naona kama linaeleza kuzisafisha zile fedha badala ya kutumia vibaya. Sasa wengi wetu tukikosea kidogo na tukikamatwa na vyombo vya usalama huwa hatukawii kuambiwa kuwa tumetakatisha fedha au tumehujumu uchumi.

Sasa mimi nataka kufahamu maana ya hayo maneno mawili na mifano yake, isije nami nikakamatwa kisha nikaambiwa hivyo wakati sijui chochote kuhusu uhujumu uchumi au utakatishaji fedha.

Nitoeni matongotongo wanaJF ili nielewe maana ya haya maneno.


Sent using Jamii Forums mobile app
I

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wa JF!!

Kila nikipitia makala mbali mbali huwa nakutana sana na maneno haya "Uhujumu uchumi na Utakatishaji fedha".

Naulizia haya maneno yanamaana gani na yanatumika kwa kitendo gani kibaya katika jamii yetu?
Maana neno utakatishaji fedha yaani money laundering hili naona kama linaeleza kuzisafisha zile fedha badala ya kutumia vibaya. Sasa wengi wetu tukikosea kidogo na tukikamatwa na vyombo vya usalama huwa hatukawii kuambiwa kuwa tumetakatisha fedha au tumehujumu uchumi.

Sasa mimi nataka kufahamu maana ya hayo maneno mawili na mifano yake, isije nami nikakamatwa kisha nikaambiwa hivyo wakati sijui chochote kuhusu uhujumu uchumi au utakatishaji fedha.

Nitoeni matongotongo wanaJF ili nielewe maana ya haya maneno.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ttvvgvxxx

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom