balota JF-Expert Member Joined Sep 16, 2014 Posts 356 Reaction score 252 Mar 9, 2021 #2 Subiri watumishi waje
3 Angels message JF-Expert Member Joined Aug 3, 2017 Posts 5,580 Reaction score 16,278 Mar 9, 2021 #3 Ajitahidi tu akioteshwa tena aulize maana yake au aombe kujulishwa maana. Asante
Paroco JF-Expert Member Joined Dec 24, 2017 Posts 3,080 Reaction score 12,227 Mar 9, 2021 #4 Mshana Jr
maishapopote JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 3,505 Reaction score 6,440 Mar 9, 2021 #5 mkuu akimaliza kusali awe analitamka kwa uelewa wangu ni lugha ya mbinguni kiimani akilitamka ataletewa lingine mapaka atakua ananena kwa lugha asikate tamaa wala asiogope
mkuu akimaliza kusali awe analitamka kwa uelewa wangu ni lugha ya mbinguni kiimani akilitamka ataletewa lingine mapaka atakua ananena kwa lugha asikate tamaa wala asiogope
Chinedu5 JF-Expert Member Joined Apr 20, 2015 Posts 784 Reaction score 2,820 Mar 9, 2021 #6 hili neno analetewa kwa njia gani? anakua anatamkiwa na sauti au mtu anakuja au anaandikiwa sehemu?
Dumas the terrible JF-Expert Member Joined Jan 20, 2021 Posts 5,457 Reaction score 11,334 Mar 9, 2021 #7 Mwambie apunguze mawazo tu hakuna kitu kama hicho!