Uchochezi ==kuongea ukweli kwa kuwakosoa viongozi ambao wapo madarakani?Kwa mujibu siri kali ya mkoloni mweusi na makaburu weusi uchochezi ni pale utakapowakòsoa viongozi wa serekali hii na kujadili udhaifu wao kwa kuongea ukweli bila chenga.
Bado hapo hujatoa tafsiri ya neno uchocheziUchochezi ni;
Kumuita bwege
kumita ki.la.za
kumsema vibaya kwenye FB na Whattsup hata kama ni kweli
na
kumjaribu
Unaweza kusema ubaya wa mtu na watu wakachukizwa na ubaya wake na kumzuru bila ya kuhamasisha, kwa mfano aje mtu aseme wewe mwanga katika area yako unayo ishi, nini kitatokea kwa watu walio kuzunguka?
Uchochezi maana yake ni kusema ukweli, kudai haki yako pia ni Uchochezi, serikali haitakuwa tayari kukupa haki yako,na itafanya kila njia kukwepa ukweli na kutafuta kila njia kuzima madai yako, hasa madai ya wengi kuwapa ni ngumu sana kuliko mtu moja mmoja.
Uchochezi Tanzania inatumika katika kunyamazisha wadai mabadiliko na haki katika utawala.
Ni kweli kabisa wanatakiwa kutoa ufafanuzi nini maana ya neno uchocheziHakika Maana Vyombo Muhimu Na Vyeti Kama Mahakama Idara Yao Ya Elimu Kwa Umma Itupatie Maana Na Tafsiri Ya Neno Uchochezi Ili Tuwe Makini Kuhusu Hilo Neno.
Kwasasa Ni Kama Uonevu Na Ukandamizaji Kutufunga Mdomo Tusiseme Jambo Lolote
Uchochezi ni pale unaposema ukweli usio itajika kusemwa juu ya serikali hii ya 5.
"wachochezi" wana tabia ya kukosa "uzalendo" na ukikosa uzalendo wewe ni "wakushughuliliwa" tu.
Mjadala kwa manufaa ya watu wengi ukiwepo hata na weweMjadala kwa manufaa ya nani sasa? Hawa wahuni akina Lema na Lisu? Waache waisome namba.
AasiyefundiShwa na ***** hufundishwa na ulimwengu.
Sijaelewa hapoKuna siku nilikuwa namsikiliza mwanasheria mmoja kwenye radio - TBC kuhusu uchochezi, alisema hivi kwa mfano unaweza ukasema kwamba mtu fulani amefanya kosa hili na lile, lakini utakapotoa hukumu au kushawishi watu waende kumdhuru namna fulani ndo utakuwa umechochea watu. lakini ukiishia kutaja mabaya yake ukaishia hapo kutakuwa hakuna uchochezi wowote uliofanyika.
Nini maana ya neno uchochezi?Mambo madogo kama haya hayahitaji mijadala ya kitaifa, ni suala tu la uelewa, uchochezi kitendo kinachotokana na neno chochea ni kama upuuzi kutoka kwenye neno puuza. Swali, unapochochea unakua unafanya matendo gani na dhamira ya kitendo cha kuchochea inakuaga ni ipi? Pamoja na kiwango chetu kidogo cha IQ (National Average) sidhani kama jambo hili linaweza likatushawishi kuwa na mjadala wa kitaifa.
Sijui nani atapona!!