Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

Miaka miwili ni hatari mkuu
Ni ngumu sana siwezi kusema ni rahisi.

Kuna time nakuwa kama nachanganyikiwa maana hali inanizidi kitu inasimama kama inataka kupasuka.

Lakini nikikumbuka kwamba nimekaa muda bila tendo naingia unyonge narudi katika hali ya kawaida tena.
 
Ila mkuu kuna ndoto zengine huwa hazipo kabisa kwenye uhalisia mfano kupaa, sasa utasema huyo mtu huwa anawaza mambo ya kupaa paa?
Huwezi kuota kitu ambacho hakipo au hakijawai kuwepo katika hii dunia. Ndoto saa nyingine ni mawasiliano ya watu wa 2 wewe na ulimwengu.

Kuna mambo huwa yanakuja kama ishara na saa nyingine hupitia ndoto
 
Kwahiyo hapo unakiri kuwa kuna hali ya changamoto kwenye upande wako wa kiuchumi au tuseme kwenye suala la kufanikisha yale malengo yako?
 
Inawezekama pia hizo ndoto zikawa zinatokana na mtazamo wako kuhusu hilo tendo hivyo inategemea una experience vp hilo tendo ndani ya ndoto.
 
Kwa upande wako hizo ndoto ni nzuri kabisa kiafya hasa kwahiyo sababu ya kutoshiriki kwa muda mrefu sex.
 
Sasa lucid dreaming si tofauti na ndoto za kawaida.
 
Huwezi kuota kitu ambacho hakipo au hakijawai kuwepo katika hii dunia. Ndoto saa nyingine ni mawasiliano ya watu wa 2 wewe na ulimwengu.

Kuna mambo huwa yanakuja kama ishara na saa nyingine hupitia ndoto
Kwahiyo kuota unapaa pia inawezakutokana na mawazo ya kupaa?
 
Sasa lucid dreaming si tofauti na ndoto za kawaida.
Hapana ni sawa kabisa ila tofauti ni hio wewe unakua na uwezo wa kufanya chochote au kujifanya chochote au kujigeuza chochote ukiwa ndani ya lucid dream, sasa ubaya wa lucid dream kuna kipande lazima ucheke au uongee na unapoongea au kucheka unajiona kabisa unachofanya ni kui-control ndoto yaan unaoona kabisa hapa mimi nimelala ila naota na nai-control hii ndoto sio kukoroma anae koroma huku amelala hayupo kwenye lucid dream ni poyoyo wengi ni mapoyoyo usije ukamuona mtu kalala anakoroma km nguruwepori ukasema yupo kwenye lucid dreaming hayupo kabisa km umewahi kulala na mtu halafu ukamsikia anafanya vitu vya tofauti mfano anacheka au anaongea peke yake ila amelala basi moja kwa moja tambua huyo yupo kwenye lucid dream na akifika kwenye hio hatua ndio ndoto hua imekolea, achana na wale wanaoamua kucheza michezo ya hatari mfano kukimbizana na mbwa au nyoka au ng'ombe au kiumbe cha ajabu kisichotambulika vizuri au mwingine anaamua kupigana humo humo ndotoni, tambua lucid dream kila kitu unatengeneza wewe mazingira yote ya ndoto ni wewe ndie unaeyajenga na unaweza kuyabadirisha vyovyote unavyotaka
 
Nachosema ni kwamba kuna aina tofauti za ndoto, lucid dreaming ni katika aina za ndoto ambazo zipo tofauti na hizo ndoto zengine. Kuwa na control katika ndoto kwa kutambua unaota na ukaweza kufanya chochote unachotaka kufanya hizo ndio ndoto za lucid dreaming kitu ambacho hali hiyo haipo kwenye ndoto za aina nyengine.

Kwahiyo maana yangu ni kwamba hauwezi kuwa uwezo kama huo katika kila ndoto.
 
Vivid dreams, Nightmares, recurring dreams, and metaphorical dreams then inaingia lucid dreaming, upo sahihi kabisa are you dreaming?
 
Ndoto nyevu hizo.

Balehe ya mwanzo mwanzo huwa ni hivyo.

Hongera, umekuwa sasa.
 
Sababu hasa ya wewe kuacha kushiriki tendo la ndoa ni nini? Kuwa mkweli kwa asilimia 100 naweza kukusaidia suluhisho lake haijalishi ni nini
 
Kwahiyo hapo unakiri kuwa kuna hali ya changamoto kwenye upande wako wa kiuchumi au tuseme kwenye suala la kufanikisha yale malengo yako?
Ndiyo hiyo hali ipo, lakini Mungu ni mwema sana tayari nimepata kazi nzuri sana yenye mshahara mzuri sana ndani ya siku 3 zilizopita Naamini changamoto zangu zinaenda kubaki historia soon
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…