ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,551
- 44,707
Habari wanaJF,
Kuna hii sentensi naionaga katika Bible kuwa mkumbuke mke wa ujana wako hivi huwa Ina maana gani?
Kwamba muoe Mwanamke uliyemtoa bikra au ndo usimwache mchumba wako wa zamani first lover wako?
Kuna hii sentensi naionaga katika Bible kuwa mkumbuke mke wa ujana wako hivi huwa Ina maana gani?
Kwamba muoe Mwanamke uliyemtoa bikra au ndo usimwache mchumba wako wa zamani first lover wako?