Nini maana ya kusamehe...?

Kwa kweli hii mada naweza kusema ni pana lakini kusamehe kuna differ from person to person, kusamehe kutokuwa na hasira na mtu aliyekukosea and being able to be around the person without feeling the need to act passive-aggressive towards them and feeling comfortable and at peace with them ingawa kwa wengine inaweza kuwa ni vigumu sana.

To forgive somebody, you are completely clearing the slate, you hold no grudges, and, you act, as you did, before they committed the crime against you, however, at some point, i wonder, was Jesus right, is it good to forgive somebody, even if they have commited the greatest sin against you,vile vile nafikiria kwa maana nyingine tunaweza kusema kusamehe (Forgiveness) is that you accept peoples mortality and along with that their flaws and then help them overcome those flaws but only if their willing to admit they are flawed .
 
Lizzy kusamehe ni jambo moja na kurudia mahusiano kama vile mwanzo ni jambo tofauti, kwangu hii pia inategemea na kosa lenyewe. Kama ni kosa dogo tu basi twaweza jirahidi kurudi kama zamani.
Lakini kukosewa kwingine hata ukiamua kuyaachilia yapite bado hamuwezi kuwa kama zamani kamwe.

Kwanza kumbuka hapo tayarri mahusiano yenu...hapa namaanisha mahusiano yawayo yote yale, tayari yameingia dosari, sasa mtakuwaje kama zamani!

BHT hapo kwenye nyekundu na mimi ndivyo ninavyoamini hivyo...
Ila kwa watu wengine hayo mawili yanaenda pamoja. Kwamba kama umenisamehe tayari automatically mahusiano yetu ymekua restored na sio kwamba unakua na option ya kuchagua kutofanya hivyo.

Para ya mwisho...nakubaliana na wewe moja kwa moja. Sema sasa hawa watu wa ''nilidhani umenisamehe'' hua wanafanya kusuggest kwamba kosa lifutwe..yani msahama unafuta kosa na kufanya kama vile halikuwahi kutokea.
 

...kusamehe gharama,....mwj1 nisamehe na mimi basi...lol




...msamaha unategemeana na mhusika na kosa lenyewe...

kwangu mimi inategemeana impact ya kukosewa huko kulivyo athiri maisha yangu.
kuna makosa yanasamaheka na kusahaulika,
kuna makosa yanasameheka lakini hayasahauliki, na
kuna makosa hayasameheki wala hayasahauliki!



mbu hakuna makosa ambayo'hayasameheki'
kitendo cha kutokusamehe ni 'kujiumiza mwenyewe'
ndo maana mimi na LIZZY tunasema una let go...
yaani unahakikisha hilo 'kosa' halikuumizi tena wala
husikii 'maumivu' wala 'kuwakasirikia' waliokuudhi....
unaweza hata kuzungumza nao tu..
inasaidia 'kiafya' ku let go....

yaani unafunga ukurasa.....
 
Kwa kweli hii mada naweza kusema ni pana lakini kusamehe kuna differ from person to person, kusamehe kutokuwa na hasira na mtu aliyekukosea and being able to be around the person without feeling the need to act passive-aggressive towards them and feeling comfortable and at peace with them ingawa kwa wengine inaweza kuwa ni vigumu sana.

To forgive somebody, you are completely clearing the slate, you hold no grudges, and, you act, as you did, before they committed the crime against you, however, at some point, i wonder, was Jesus right, is it good to forgive somebody, even if they have commited the greatest sin against you,vile vile nafikiria kwa maana nyingine tunaweza kusema kusamehe (Forgiveness) is that you accept peoples mortality and along with that their flaws and then help them overcome those flaws but only if their willing to admit they are flawed .


unawatenga watu aisee...
oxford tupu lol
hebu onesha ushirikiano na ST Kayumba basi....lol
 
halafu kusamehe bila 'yule aliekosea' kuomba msamaha nayo ni kazi bure...

unasikia mtu anasema 'mie nimeshamsamehe'

wakati huyo 'aliesamehewa' wala hakuwahi kusema 'alikosa'

hii inawakuta wadada weengi sana.......eti nimemsamehe tumerudiana..

wakati kidume kina endelea ku 'bully tu mdada'
sad....
Kuna rafiki yangu yeye huwa anasema "I dont forgive, i watch and wait for them to screw up again. If they caused me irreversible damage, i wouldn't be able to forgive them, how do you forgive someone who's in the hospital?"
 
Kwa kweli hii mada naweza kusema ni pana lakini kusamehe kuna differ from person to person, kusamehe kutokuwa na hasira na mtu aliyekukosea and being able to be around the person without feeling the need to act passive-aggressive towards them and feeling comfortable and at peace with them ingawa kwa wengine inaweza kuwa ni vigumu sana.

To forgive somebody, you are completely clearing the slate, you hold no grudges, and, you act, as you did, before they committed the crime against you, however, at some point, i wonder, was Jesus right, is it good to forgive somebody, even if they have commited the greatest sin against you,vile vile nafikiria kwa maana nyingine tunaweza kusema kusamehe (Forgiveness) is that you accept peoples mortality and along with that their flaws and then help them overcome those flaws but only if their willing to admit they are flawed .
Really???
Kwani haiwezekani mtu asiwe na kinyongo na wewe ila asikupende/amini/shirikiana na wewe kama mwanzo?
 
Kwenye uhusiano! kama kuachana kwenu kulitokana na kosa ambalo mmoja wenu amegundua alikosa na kuja kuomba msamaha, basi kama ukimsamehe maanayake maisha yanarudi kama zamani kwani ni hiyo sababu ndio iliofanya mtengane kama umelidhika kusamehe hakuna budi vitu kurudi normal!
 
Really???
Kwani haiwezekani mtu asiwe na kinyongo na wewe ila asikupende/amini/shirikiana na wewe kama mwanzo?
Inawezakana kabisa lakini je uliishawahi sikia watu wanasema "Yule jamaa nimemsamehe lakini simuamini tena" pia mfano mdogo tu ni kwa The Boss anasema amewasamehe ndugu zake lakini hataki kukaribiana nao hata kidogo hii ina maanisha kuwa hayuko tayari kushirikiana nao kama ilivyokuwa hapo mwanzoni
 
mbu hakuna makosa ambayo'hayasameheki'
kitendo cha kutokusamehe ni 'kujiumiza mwenyewe'
ndo maana mimi na LIZZY tunasema una let go...
yaani unahakikisha hilo 'kosa' halikuumizi tena wala
husikii 'maumivu' wala 'kuwakasirikia' waliokuudhi....
unaweza hata kuzungumza nao tu..
inasaidia 'kiafya' ku let go....

yaani unafunga ukurasa.....

....inategemeana na experiences zako....binafsi kuna makosa ambayo pamoja na maisha kuendelea,
bado sijapata sababu ya kuyasamehe aisee... ni kovu, halifutiki!

 
mbu hakuna makosa ambayo'hayasameheki'
kitendo cha kutokusamehe ni 'kujiumiza mwenyewe'
ndo maana mimi na LIZZY tunasema una let go...
yaani unahakikisha hilo 'kosa' halikuumizi tena wala
husikii 'maumivu' wala 'kuwakasirikia' waliokuudhi....
unaweza hata kuzungumza nao tu..
inasaidia 'kiafya' ku let go....

yaani unafunga ukurasa.....


Spot on Boss!
Katika vitu ambavyo hua vinawaumiza watu ni ile hali ya kubeba kosa ulilotendewa maisha yako yote.
Ndio mtu anaweza akawa amekutendea kitu ambacho hukutegemea toka kwake /ambacho hukustahili ukaona kosa hilo halistahili msamaha wako. Ubaya unakuja pale ambapo zile hisia unazokuwa nazo juu ya ulichotendewa/na aliyekutendea zinapokuumiza wewe wakati yeye hata hazimgusi.

Kusamehe kunaruhusu wewe kuachana na kilichotokea na kusonga mbele. Waweza usisahau moja kwa moja ila hakitakuwepo kwenye akili yako muda wote...na pale kitakapokurudia (kumbukumbu) hutoumia wala hakitokusumbua.
 
Mbu,
Kwahiyo mwisho wa siku unaweza ukamsamehe mtu (given kosa lake linaruhusu) ila ukashindwa kurudisha mahusiano yenu ya mwanzo hivyo kila mmoja kwenda na njia zake/mkapunguza ukaribu?

naaam, naaam....tena sana tu!
 
BHT hapo kwenye nyekundu na mimi ndivyo ninavyoamini hivyo...
Ila kwa watu wengine hayo mawili yanaenda pamoja. Kwamba kama umenisamehe tayari automatically mahusiano yetu ymekua restored na sio kwamba unakua na option ya kuchagua kutofanya hivyo.

Para ya mwisho...nakubaliana na wewe moja kwa moja. Sema sasa hawa watu wa ''nilidhani umenisamehe'' hua wanafanya kusuggest kwamba kosa lifutwe..yani msahama unafuta kosa na kufanya kama vile halikuwahi kutokea.
Sasa kosa kufutwa ni kama tufanye hakikutokea kitu sio?
Sasa hapa kwa kweli ndo inategemea na kosa, mahusiano baina ya waliokoseana na Pia yule aliyekosewa alidhurika kiasi gani. Lakini binafsi bado sidhani 'letting go' basi ndo kufuta na kufanya kama kosa halikutendwa
 
Spot on Boss!
Katika vitu ambavyo hua vinawaumiza watu ni ile hali ya kubeba kosa ulilotendewa maisha yako yote.
Ndio mtu anaweza akawa amekutendea kitu ambacho hukutegemea toka kwake /ambacho hukustahili ukaona kosa hilo halistahili msamaha wako. Ubaya unakuja pale ambapo zile hisia unazokuwa nazo juu ya ulichotendewa/na aliyekutendea zinapokuumiza wewe wakati yeye hata hazimgusi.

Kusamehe kunaruhusu wewe kuachana na kilichotokea na kusonga mbele. Waweza usisahau moja kwa moja ila hakitakuwepo kwenye akili yako muda wote...na pale kitakapokurudia (kumbukumbu) hutoumia wala hakitokusumbua.
Na mara nyingi watu wanashindwa kutoa msamaha kwasababu hiyo
 
...lol...Lizzy, nimekusamehe ila sitasahau somo, tutange yajayo hehe!


Hahahahaha...asante kwa msamaha. ''Tugange yajayo''...does that mean we should pick up where we left things?

Kwenye uhusiano! kama kuachana kwenu kulitokana na kosa ambalo mmoja wenu amegundua alikosa na kuja kuomba msamaha, basi kama ukimsamehe maanayake maisha yanarudi kama zamani kwani ni hiyo sababu ndio iliofanya mtengane kama umelidhika kusamehe hakuna budi vitu kurudi normal!

Interesting!!
Inawezekana mimi nikawa sio msameheaji aisee!!

Inawezakana kabisa lakini je uliishawahi sikia watu wanasema "Yule jamaa nimemsamehe lakini simuamini tena" pia mfano mdogo tu ni kwa The Boss anasema amewasamehe ndugu zake lakini hataki kukaribiana nao hata kidogo hii ina maanisha kuwa hayuko tayari kushirikiana nao kama ilivyokuwa hapo mwanzoni

I see nothing wrong with that.
Kumsamehe mtu hakuondoi kutokua kwake mwaminifu..uongo wake..wizi wake..ukorofi wake n.k...sasa kwanini atreatiwe kama vile hivyo vitu vimeondoka???
 
Spot on Boss!
Katika vitu ambavyo hua vinawaumiza watu ni ile hali ya kubeba kosa ulilotendewa maisha yako yote.
Ndio mtu anaweza akawa amekutendea kitu ambacho hukutegemea toka kwake /ambacho hukustahili ukaona kosa hilo halistahili msamaha wako. Ubaya unakuja pale ambapo zile hisia unazokuwa nazo juu ya ulichotendewa/na aliyekutendea zinapokuumiza wewe wakati yeye hata hazimgusi.

Kusamehe kunaruhusu wewe kuachana na kilichotokea na kusonga mbele. Waweza usisahau moja kwa moja ila hakitakuwepo kwenye akili yako muda wote...na pale kitakapokurudia (kumbukumbu) hutoumia wala hakitokusumbua.


...katika kosa linalouma ni kosa analoweza kukutendea spouse wako...
sasa nikiwapa mifano ya hayo makosa yasiyosameheka hapa mtasema
mbu anajipendelea...acha ni myuti nikiwasikiliza wengine wakimwaga sera hapa...

nitarudi baadae....
 
Hahahahaha...asante kwa msamaha. ''Tugange yajayo''...does that mean we should pick up where we left things?

....lol....haya bana...hahahha...
mchokozi sana wewe kumbe?...ngoja nijiulize...
can i trust you again?.....yes i can, but with caution!

haya, nawahi mahala...baadae

 
....inategemeana na experiences zako....binafsi kuna makosa ambayo pamoja na maisha kuendelea,
bado sijapata sababu ya kuyasamehe aisee... ni
kovu, halifutiki!


Hapo kwenye red ndo pagumu Mbu.
Kuna vitu havisahauliki labda kwa amnesia kwasababu vinakua vimeaffect maisha yako kwa kiasi fulani /wakati mwingine kwa kiasi kikubwa. Sasa kama hiyo effect/impact ni negative mtu utasahauje iwapo kila unapoamka kinakukudolea macho??No one should require you to do such thing...samehe kisha endeleza maisha yako vile uonavyo inakuafaa wewe FULL STOP.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom