Ni degree ya heshima ila naamini ina vigezo vingi kwani kuna rafiki zangu wameipata ila wamefika 3.5 GPA na kinachonipa ukakasi ni yupo ambae ufaulu wake ilipanda ukashuka alafu ukapanda tena.
Pia yupo mwingine alipata sup ila ufaulu ulienda ukipanda.