Ni diploma ya ufundi ya zamani ilikua inaitwa hivyo FTCNdugu zangu ukiwa unaaply degree NACTE wameweka kigezo cha full technician certificate lkn mimi siielewi inamaanisha nini anaeilewa anisaidie ndugu zangu
sasa pale ukiwa unaomba nacte hawajaonesha kama umepitia certificate uweke sifa hiyo
Yeah, ni Full Technician Certificate muundo wa Diploma kwa Ujerumani. Ni tofauti na Certificate ambayo huwa ni bridge kwa wale wanaotaka kujiunga na Diploma. Hivyo kabla ya kufuata muundo wa Diploma,vyuo vya ufundi vilitoa FTC na Advanced Diploma(in Engineering au fani yoyote) ambayo inaitwa ni Equivalent na Bachelor Degree!