Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,033
Dogo wa 90 usinitukane kama huwezi nichallenge ungepotezea tu.
Dogo wa 90 usinitukane kama huwezi nichallenge ungepotezea tu.
Huna hadhi ya kuwa challenged wewe bwakilaDogo wa 90 usinitukane kama huwezi nichallenge ungepotezea tu.
Yah huwezi nichallenge mtu kama wewe
AiseeNaomba nimrekebishe kidogo hapo kwenye G sio gsm bali ni GPRS (General Packet Radio Service) na hiyo 3G ni third generation kama ilivyo 2G ambayo ni second generation ambayo pia ndiyo GPRS yenyewe, na 4G ni forth generation nadhan H na H+ zimesha elezwa hapo juu
Kifupi ni kwamba hizo namba 2G,3G, 4G ,5G ni generation tu ambapo ndani ya generation hizo ndio tuna pata GPRS, EDGE , WCDMA, HSDPA, HSPA HSPA + ,EV-DO nk.
Kwa hivyo 2G ndani yake ndio tunapata G na E na ndani ya 3G tunapata WCDMA,H na H+ ,EV-DO na ndani ya 4G ndio kuna LTE nadhani utakuwa umepata mwanga kidogo
Alama "G" na "E" humaanisha nini kwenye simu pale unapotumia data?Troublemaker said:Ilishaga tolewa ufafanuzi jaribu kufukunyua
Pitia maelezo hapo juu mbona yashatolewa ufafanuzi yote hayo.
Naomba nimrekebishe kidogo hapo kwenye G sio gsm bali ni GPRS (General Packet Radio Service) na hiyo 3G ni third generation kama ilivyo 2G ambayo ni second generation ambayo pia ndiyo GPRS yenyewe, na 4G ni forth generation nadhan H na H+ zimesha elezwa hapo juu
Hiyo ni link ya thread iliyowahi kutolewa ufafanuzi mkuu, ndo nmeweka hapo.Polokwane said:Pitia uzi hapo juu mbona yashatolewa ufafanuzi yote hayo.
Akikuuliza generation ni nini nikiwa siko online tafadhari nifikishie ujumbe mwambie ni kizaziNaomba nimrekebishe kidogo hapo kwenye G sio gsm bali ni GPRS (General Packet Radio Service) na hiyo 3G ni third generation kama ilivyo 2G ambayo ni second generation ambayo pia ndiyo GPRS yenyewe, na 4G ni forth generation nadhan H na H+ zimesha elezwa hapo juu
Kifupi ni kwamba hizo namba 2G,3G, 4G ,5G ni generation tu ambapo ndani ya generation hizo ndio tuna pata GPRS, EDGE , WCDMA, HSDPA, HSPA HSPA + ,EV-DO nk.
Kwa hivyo 2G ndani yake ndio tunapata G na E na ndani ya 3G tunapata WCDMA,H na H+ ,EV-DO na ndani ya 4G ndio kuna LTE nadhani utakuwa umepata mwanga kidogo
SafiiE- EDGE (Hii ni 2G pia but ina data, japo data speed yake ipo limited).
G- 2G GSM (hii ni Second Generation GSM tech, haina data, ni text na calls only)
H- 3G HSPA (High Speed Packet Access, internet inayomwagika)
OkE- EDGE (Hii ni 2G pia but ina data, japo data speed yake ipo limited).
G- 2G GSM (hii ni Second Generation GSM tech, haina data, ni text na calls only)
H- 3G HSPA (High Speed Packet Access, internet inayomwagika)
Dogo wa 90 usinitukane kama huwezi nichallenge ungepotezea tu.
E ni English
G ni Geography
H ni History
Simu zote zinatumia combination ya HGE.
HahahaE ni English
G ni Geography
H ni History
Simu zote zinatumia combination ya HGE.