mwemweremwemwere
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 605
- 680
Wajameni mnitoe tongotongo mwenzenu. Nimekuwa nikiona hizo alama za E, G na H kwenye simu hasa kama simu ipo kwenye intaneti.
Zikionekana E na G basi lazima netweki inakuwa chenga balaa, ila ikiwa H ndo kitu kinakuwa konki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zikionekana E na G basi lazima netweki inakuwa chenga balaa, ila ikiwa H ndo kitu kinakuwa konki.
Sent using Jamii Forums mobile app

