Forecaster
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 211
- 123
Wakuu naomba nini maanaa ya D-4 VVTi engine na VVTi engine ya kawaida. Sijui tofauti ni nini?
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani
jamaa yangu alinunua toyota premio yenye d4 alijuta kununua gari,ilimsumbua sana hadi alipoamua kuiuza bei ya nyanya.kwa kweli injini hiizi ni majanga
Engine za mark x ni d4 with vvti. Hapo sasa.
Engine za D4 zina sensor nyingi sana na pia kwa vile inainject mafuta moja kwa moja inaitaji mafuta masafi.
Ila D4 in upgrade...inapower zaidi, ulagi wa mafuta ni mzuri zaidi, tatizo ni electronic sensors na mafuta yetu ya mixture.
Sent from Samsung Note III using Tapatalk
Wakuu naomba nini maanaa ya D-4 VVTi engine na VVTi engine ya kawaida. Sijui tofauti ni nini?
Natanguliza shukrani
Magari yote ya kisasa yanayo tengenezwa kutoka Japani yanatumia Engine System ya Direct Injection (D-4) , Ingawa wameacha kutumia neno D-4, Kwani ilipotoshwa na Competitors wao. Technologia hii ndiyo inayotumika kwa magari mengi ya Germany tangu miaka ya 1980.(Benz, BMW N.k).Ukiona engine zote za 1ZR-FE,2ZR-FE,2ZR-FAE,3ZR-FE,3ZR-FAE, 3ZR-FBE,4ZR-FE,5ZR-FXE, ambazo ndiyo za kisasa zinatumia mfumo huo, VVT nimfumo unaohusu matumizi ya Cam shaft mbili kufungua Valve , Kwa hiyo basi Direct Injection ni njisi mafuta yanavyo ingia kwevye Cylinder, na VVT -(Variable valve Timing,) Valve zinavyo funguka. Hivyo basi Direct Injection ni mfumo mzuri kwa sasa , Ingawa ni kweli unahitaji mafuta mazuri. Namakampuni mengi ya magari ndo yanatumia mfumohuo kwa sasa.
Hivyo basi Gari hiyo hiyo itatumia Direct Injection na VVT.
Wakuu naomba nini maanaa ya D-4 VVTi engine na VVTi engine ya kawaida. Sijui tofauti ni nini?
Natanguliza shukrani