Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,802
Nimekua nikifuatilia sakata la kesi ya IPTL kwa mda sasa. Na maamuzi ya kesi hivi majuzi tu ni serikali kutakiwa kulipa deni la dola mil.427. Kulingana na maelezo Msemaji wa serikali Dr. Abbasi ni kwamba serikali haihusiki na deni hilo na hivyo kugoma kulipa.
Naomba wajuzi wa mambo mnisaidie nini kitatokea endapo fedha hizo hazita lipwa?
Naomba wajuzi wa mambo mnisaidie nini kitatokea endapo fedha hizo hazita lipwa?