ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,705
Msaada jamani anayeelewa . Hili neno linatumika sana kwenye makampuni, mfano. Ubungo Plc, Crdb bank plc,Nmb plc. Anayejua atueleze kwani wapo wanaotoa tafsiri mbalimbali, kama vile Public liability company, wengine Private liability company .
Watalaamu wa uchumi na mambo ya fedha watuambie
Watalaamu wa uchumi na mambo ya fedha watuambie