Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 298,808
- 751,565
Ndani ya siku nne yametokea mauaji ya kutisha na ya kikatili sehemu mbili tofauti Chalinze na Tandale Dsm, yote yanafanana kwa kila hali kasoro muda
Ya Chalinze yametokea Alhamisi kuamkia Ijumaa ya Dar Jumamosi jana kuamkia leo jumapili
Wote ni wanawake
Wote wamenyongwa
Wote wamebakwa na watu zaidi ya mmoja
Wote wamevunjwa mikono
na cha kushangaza zaidi wote wametobolewa macho
Je.?
Ni mapenzi
Ni ushirikina
Ni visasi
Au ninini
Je ni nani atafuata? Jeshi la police limasemaje hapa?
Ya Chalinze yametokea Alhamisi kuamkia Ijumaa ya Dar Jumamosi jana kuamkia leo jumapili
Wote ni wanawake
Wote wamenyongwa
Wote wamebakwa na watu zaidi ya mmoja
Wote wamevunjwa mikono
na cha kushangaza zaidi wote wametobolewa macho
Je.?
Ni mapenzi
Ni ushirikina
Ni visasi
Au ninini
Je ni nani atafuata? Jeshi la police limasemaje hapa?