The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,440
- 10,233
Wakuu Salaam;
Mji wa Moshi ndiyo kitovu cha mkoa wa Kilimanjaro na kwa sasa hivi mji huu umepanuka kimaendeleo kulinganisha na miaka 15 iliyopita.
Sasa mji huu tangu mda tu haupandishwi hadhi ya kua jiji ilihali mchana kweupe tunaona kwingine kunapanda tu. Na sifa za huu mji zinajulikana zinazodhihirisha kua unastahili kua jiji.
Kipindi cha Mh. Amos Makala zilionekana dalili za kua jiji, na wakati JK alipokuja kwenye uzinduzi wa jengo la Uchumi alihaidi kuifanya kua jiji lakini haikufanikiwa. Ikakumbushiwa lakini hakuna.
Wazee wa mji na viongozi husika wameshajaribu vya kutosha lakini imeshindikana.
Miaka na miaka inazidi kwenda tukisubiri na wakati huu wa Jpm ndiyo kabisa hakuna chochote.
Sifa za mji wa Moshi zinajulikana kote na hivyo inastahili kua jiji.
Nini sasa kinazuia mji wa Moshi uliopo mkoani Kilimanjaro kua Jiji?
Mji wa Moshi ndiyo kitovu cha mkoa wa Kilimanjaro na kwa sasa hivi mji huu umepanuka kimaendeleo kulinganisha na miaka 15 iliyopita.
Sasa mji huu tangu mda tu haupandishwi hadhi ya kua jiji ilihali mchana kweupe tunaona kwingine kunapanda tu. Na sifa za huu mji zinajulikana zinazodhihirisha kua unastahili kua jiji.
Kipindi cha Mh. Amos Makala zilionekana dalili za kua jiji, na wakati JK alipokuja kwenye uzinduzi wa jengo la Uchumi alihaidi kuifanya kua jiji lakini haikufanikiwa. Ikakumbushiwa lakini hakuna.
Wazee wa mji na viongozi husika wameshajaribu vya kutosha lakini imeshindikana.
Miaka na miaka inazidi kwenda tukisubiri na wakati huu wa Jpm ndiyo kabisa hakuna chochote.
Sifa za mji wa Moshi zinajulikana kote na hivyo inastahili kua jiji.
Nini sasa kinazuia mji wa Moshi uliopo mkoani Kilimanjaro kua Jiji?