K kibugumo JF-Expert Member Joined Jun 19, 2011 Posts 1,518 Reaction score 472 Apr 29, 2016 #61 Awali ni awali hakuna awali mbovu na isitoshe wapenzi hawaachani,wanatengana kwa muda tu,ndio kisa hata mafundisho yanakataza uzinifu kabla ya ndoa!!
Awali ni awali hakuna awali mbovu na isitoshe wapenzi hawaachani,wanatengana kwa muda tu,ndio kisa hata mafundisho yanakataza uzinifu kabla ya ndoa!!
Jmujun JF-Expert Member Joined Feb 12, 2015 Posts 965 Reaction score 525 Apr 30, 2016 #62 kurud kwa x wako, inategemea mlitemana kwa style gan, alaf choice nyngne unakuta ni real hvo ungatuke utajikuta kuna vitu unavi_miss itakubid urud tu, kama haikuumiz ukiifkria
kurud kwa x wako, inategemea mlitemana kwa style gan, alaf choice nyngne unakuta ni real hvo ungatuke utajikuta kuna vitu unavi_miss itakubid urud tu, kama haikuumiz ukiifkria