Sawa mkuu... Tufungue na sisi tusio kwenye ndoa. Labda kuna mahali makosa yanafinyika tujifunze na sisi ili yasije kutukuta na kujutiaUkikua na kuoa au kuolewa ukalala na kuamkaa na mtu miaka miwili mfululizo hautauliza tena maswali kama haya
kuna thread moja humu jamaa anadai kuwa.Nakuja kumuona mtoto nitalala hapo.Hahahaaa.... Kwaio ni kwamba wanakuwa wamemiss mmchezo au niaje?
ila wee mama always huna point jfMkuu mpenzi wako karudi kwa X wake nini??
Habari zenu wapendwa wa MMU.
Kuna swala linanitatiza kuhusu kurudiana na X. Hii ni kwa wote
Hivii, inakuwaje mtu unamuacha mpenzi wako unaoa/olewa mtu mwingine halafu eti baada ya muda unarudi kwa X kuomba game. Huwa hamjisikii hata vibaya? Nini kinawasukuma kurudi mlipoacha? Na tena mkirudi mna story za kuhuzunisha kweli. Yaani ni majuto fulu! Ni kipi kinakushinda kuanza upya uhusiano na mtu mwingine mpaka urudi kwa X?
Murete;Okee! Kwani huwezi kuwa na kitu kipya mpaka urudie matapishi?