SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,947
- 2,032
Nasikia sauti tu ya milipuko na sauti inatokea kama kati kati ya jiji ila sielewi ni yanini mwenye kujua anijuze
Kuwa na Amani Mkuu, ni sikukuu ya wahindi hiyo. Nimepita mchana kulikuwa kumepambwa vibaya sana.Nasikia sauti tu ya milipuko na sauti inatokea kama kati kati ya jiji ila sielewi ni yanini mwenye kujua anijuze

Asante kwa info,unajua tena mambo ya gombs enzi zile yananifanya at a nikiguswa na jani niwe kama MTU alowah kuumwa na nyokaKuwa na Amani Mkuu, ni sikukuu ya wahindi hiyo. Nimepita mchana kulikuwa kumepambwa vibaya sana.
Kuna miji ni imepewa tu sifa ya kuwa miji,ila nimesema kati kati ya jiji nadhani nimeeleweka nazungumzia wapi,ni huku ambapo konki konki oil chafu anazungumziwa kila kona wiki hiiMjini wapi??
Au ndiyo unadhani kila mtu yupo mkoa uliopo??
Wanaume wa Dar wanaamini Dar peke yake ndiyo mjini na kwingine kote ni vijijini!Mjini wapi??
Au ndiyo unadhani kila mtu yupo mkoa uliopo??
Dar mkuuWapi mkuu![]()