Nini kinasababisha msichana kumuita mwanaume kaka?

Nini kinasababisha msichana kumuita mwanaume kaka?

We si bora unaitwa tu,m kuna mmoja ananisalimia kabsaa shikamoo kk then ukiangalia ni MTT pin ile ile yani najikutaga tu naishiwa hadi poz kuitikia nashindwa kunyamaza nashindwa
 
We si bora unaitwa tu,m kuna mmoja ananisalimia kabsaa shikamoo kk then ukiangalia ni MTT pin ile ile yani najikutaga tu naishiwa hadi poz kuitikia nashindwa kunyamaza nashindwa
Kuna wakati wanabadilika wenyewe anaanza na shkamoo anahamia mambo mwisho wa siku......
Imenikuta hiyo mkuu though mimi nshamaliza shule kitambo kidogo........sema najitahidi kupambana..sitaki kufanya ulaghai...nataka ajae akiwa na akili yake yote.......Sema wewe usiogope kuitwa kaka....kadri siku zilikuwa zinaenda niliipotezea taratibu......NAELEKEA KUZURI KWA KWELI.....WE PAMBANA NA HALI YAKO TU

we bado kupewa shikamoo tu mkuu
 
Immunity...asije akatongozwa.! Ndo maana tunauliza wakisalimu huwa tunawajibu " wataka kuninyima nin"
 
Huyo kashakubali we endeleaa later on atakwitaa crush usjalii[emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18]
Pale nitakapoambiw "nilkua nakuheshim kam kak" itabid nije unipe ushaur tena nijibu nn coz ww nd unanip moyo wa kufunguka…!!
 
Nasikia wanawake wanasense mapema sana na kujua kama unamtaka ama vipi,
labda anakutease tu akuone au hayuko interested
 
Nasikia wanawake wanasense mapema sana na kujua kama unamtaka ama vipi,
labda anakutease tu akuone au hayuko interested
 
Back
Top Bottom